Tanil Somaiya anatarajia kukutana na waandishi wa habari hapo kesho.
Tutajitahidi kupata kinachoendelea katika mkutano huo.
Mh, tunakoelekea...!
Mengi amewasha moto ambao hawezi kuuzima! Busara za mtu kama Nyerere zinahitajika kwani naona huu mziki ni mkubwa kwa JK! Sijui tumwite Koffi Annani maana hapa nchini sijui nani wa kumnyooshea mwenzake kidole! Wote ni wizi mtupu!
Kazi ipo wakuu sasa sisi wenye nchi wazalendoo.....tumebakia hatuna chetu wanatamba wao tu kazi kweli kweli....
Wabongo ni wagumu kuelewa ........wepesi kusahau!!!!
Haponi mtu hapa..na hamna mtu wa serikali atakaye ingilia...sophia simba ameshajichoma kwa kudandia bila kufikiria!!
nakuunga mkono kufanya maandamano ya kumuunga mkono mengi.
tunahitaji kufanya maandamano.
Mengi amewasha moto ambao hawezi kuuzima! Busara za mtu kama Nyerere zinahitajika kwani naona huu mziki ni mkubwa kwa JK! Sijui tumwite Koffi Annani maana hapa nchini sijui nani wa kumnyooshea mwenzake kidole! Wote ni wizi mtupu!
sidhani kama alifikiria, maana kesho yake live on TBC, aliyatamka tena maneno yale yale kwa lugha ya 'kishankupe' huku akiyatilia msisitizo wa kidole juu, mdomo akiubinjuwa. hapo kuna kufikiria kweli?.SS alifikiria alichosema baada ya kumaliza ule mkutano
Ndipo kila mmoja anapopataka wasipoongea hatutajua kitu wacha wajichanganye tupate pa kupitia. Asante Mengi kwa kufanya mabubu kuongea.Mengi amewasha moto ambao hawezi kuuzima! Busara za mtu kama Nyerere zinahitajika kwani naona huu mziki ni mkubwa kwa JK! Sijui tumwite Koffi Annani maana hapa nchini sijui nani wa kumnyooshea mwenzake kidole! Wote ni wizi mtupu!
This made me laugh!sidhani kama alifikiria, maana kesho yake live on TBC, aliyatamka tena maneno yale yale kwa lugha ya 'kishankupe' huku akiyatilia msisitizo wa kidole juu, mdomo akiubinjuwa. hapo kuna kufikiria kweli?.
Mengi amewasha moto ambao hawezi kuuzima! Busara za mtu kama Nyerere zinahitajika kwani naona huu mziki ni mkubwa kwa JK! Sijui tumwite Koffi Annani maana hapa nchini sijui nani wa kumnyooshea mwenzake kidole! Wote ni wizi mtupu!