Tanil Somaiya kukutana na waandishi

Kitu cha kuelewa hapa, ni kwamba, sio kwamba Mengi kawasha Moto. unajua watanzania wengi hatujui ni nani hasa mafisadi na nani sio mafisadi. kitu ambacho napenda kuwahakikishia leo hii ni kwamba, kilio cha watanzania kimefika mbele za Mungu, machozi yao yamesikiwa, na Mungu atatumia mtu yoyote yule hata kama sio mengi au kama ni mengi sisi hatujui, Mungu atawafichua mafisadi wote ili nchi yetu iwe na haki.

Masikini mara nyingi huwa hawana mtetezi hapa duniani, mtetezi wetu ni Mungu peke yetu. tunaposema mafisadi ni wabaya, huo ubaya anaeuona zaidi ni masikini, wagonjwa, watu wa kipato cha chini nk. hawa ndo wanajua kinachoongelewa kwasababu maisha kwao ni magumu sana, HELA ZINAZOIBWA ZINGEWEZA KUWAPUNGUZIA MACHUNGU HAYO YOTE.

Mungu ameinuka kuwatetea watanzania, na muda si mrefu, Mungu atawafichua mafisadi wote tanzania, na hata kama wengine wanaonekana kama ni mafisadi marafiki wanaoungana kupambana na wapigania haki, Mungu atawagombanisha walane wao kwa wao muda si mrefu. macho ni yetu tutakapouona wokovu wa Mungu kwa macho yetu ya nyama. Mungu ibariki Tanzania. amin.
 
Kitu cha kuelewa hapa, ni kwamba, sio kwamba Mengi kawasha Moto. unajua watanzania wengi hatujui ni nani hasa mafisadi na nani sio mafisadi. kitu ambacho napenda kuwahakikishia leo hii ni kwamba, kilio cha watanzania kimefika mbele za Mungu, machozi yao yamesikiwa, na Mungu atatumia mtu yoyote yule hata kama sio mengi au kama ni mengi sisi hatujui, Mungu atawafichua mafisadi wote ili nchi yetu iwe na haki. Masikini mara nyingi huwa hawana mtetezi hapa duniani, mtetezi wetu ni Mungu peke yetu. tunaposema mafisadi ni wabaya, huo ubaya anaeuona zaidi ni masikini, wagonjwa, watu wa kipato cha chini nk. hawa ndo wanajua kinachoongelewa kwasababu maisha kwao ni magumu sana, HELA ZINAZOIBWA ZINGEWEZA KUWAPUNGUZIA MACHUNGU HAYO YOTE. Mungu ameinuka kuwatetea watanzania, na muda si mrefu, Mungu atawafichua mafisadi wote tanzania, na hata kama wengine wanaonekana kama ni mafisadi marafiki wanaoungana kupambana na wapigania haki, Mungu atawagombanisha walane wao kwa wao muda si mrefu. macho ni yetu tutakapouona wokovu wa Mungu kwa macho yetu ya nyama. Mungu ibariki Tanzania. amin.

To hell with the so called Mungu kasikia kilio chetu. Watanzania tutumie akili na uwezo wetu kunyoosha mambo. Mungu alitupa akili za kazi gani?

Ndio maana umasikini hauondoki. Mpaka atakapokuja Mwana wa Mungu.
 
hahaa, mkuu invisible,mambo mengine haya si rahisi sana kuyaelewa hadi uzame kiroho. haina maana kuwa Mungu kusikia kilio chetu sisi tunyamaze kimyaa bila hata kutikisika, ina maana kuwa, kwa nguvu za Mungu tutaweza kuwafichua na kuwaadhibu wezi wetu. Mungu anafanya kazi kwa kutumia watu. kuna mambo mengine ukienda kwa nguvu za mwili huu wa kawaida si rahisi sana kuyashinda, mpaka uende kiroho. DON'T EVER come to repeat the sentence" to hell with the so called Mungu kasikia kilio chetu", because you may be implying that God is unable to rescue Tanzania even without your hand moving against your enermy. I know you don't understand this that is why God will forgive you with this sentence. we need to understand that, Mungu anao uwezo hata wa kuinua mawe au kutumia kitu chochote kile katika watu wake. Mungu anao uwezo wa kufunga milango yote ya mafisadi katika ulimwengu wa roho, akawaanika wazi wakakosa hata pa kukimbilia, tukawakamata kama vile kwale na mana ya jangwani siku za musa vile. I tell you, everything we do and live with, starts kwenye ulimwengu wa roho. ukiteketeza katika ulimwengu wa roho, huku katika ulimwengu wa mwili ni kama kunywa maji tu. MUNGU ATAPIGANA PAMOJA NASI WATANZANIA, NA KUNA SIKU MAFISADI WOTE TANZANIA WATAKAMATWA NA KUPATA HAKI YAO. mtu huvuna kile anachopanda, ukipanda uharibifu utavuna uharibifu, ukipanda ufisadi lazima utafisadiwa, ukipanda mambo mema utapata vivyohivyo. tuendelee na kazi bwana invisible!
 
In the rule of law, there is no room for such silly move done by Amin. Uganda had to pay back dearly for that sin done by Amin. International Community will not sit back and watch you commit such crime.

Solution: We have to abide to the rule of law. Pili, Uongozi wetu umepoteza uzalendo kwa kuuza utu wao na kuendekeza zaidi ulafi wa madaraka et al.

When we try to abide by the rule of law we are called racists! Wabaya wetu ndio hao wanao circumvent the law openly so what law should we abide by? They abide by the law of the jungle and are succeeding, so please tell me, WHAT LAW SHOULD WE ABIDE BY???
 
10 questions that Tanil Somaiya should answer

THISDAY REPORTER

Dar es Salaam

IT has been established that the Shivacom Group of Companies proprietor, Tanil Somaiya, and his former business partner, Shailesh Vithlani, are both alleged to have been behind dubious procurement contracts with the government, worth well over $240m (approx. 300bn/-), in the past few years.

According to well-placed sources familiar with the activities of the two businessmen, they were paid so handsomely by the government despite the fact that the actual value of goods supplied through them was more in the region of $90m (approx. 120bn/-) only.

But while Vithlani is understood to have since skipped the country and remains a wanted fugitive, Somaiya (pictured) has maintained his innocence over these dealings, and continues to conduct his business activities openly within the country.

Under the Shivacom Group of Companies incorporated in 2006, Tanil has branched out into various business interests including telecommunications, security, construction, advertising, promotion, and real estate.

Still, here are ten vital questions that the 44-year-old Somaiya is facing with regard to the corruption allegations now being levelled against him:

1. The Shailesh Vithlani connection

Tanil has admitted to being a close friend and business partner of the fugitive military radar deal agent for many years. In fact, the two - bosom buddies from childhood days in Mwanza - jointly registered a business company, Merlin International Limited, in 1986. They were joint sole shareholders of this company and another firm, Vithcorp, until January 2008, when Tanil announced he had ceased all his business connections with Vithlani.

But since Merlin International was the company used to push through all the afore-mentioned suspicious government deals, which were all done when Tanil and Shailesh were still business partners, how did Tanil personally benefit?

2 As joint shareholder, wasn't he an active and willing partner of Vithlani in all the deals involving Merlin International � and, for that matter, Vithcorp � another company understood to have been involved in various shady deals?

3. Military radar scandal

In 2006/07, both Somaiya and Vithlani - as directors of Merlin International Ltd - were interrogated by detectives from Britain's Serious Fraud Office (SFO) before a magistrate at the Kisutu Resident Magistrate's Court in Dar es Salaam. Tanil and Shailesh both admitted under oath that they held power of attorney over Envers Trading Corporation, a company that received illegal kickbacks amounting to $12m from BAE Systems, the manufacturer of the military radar purchased by the Tanzanian government in 2001/02. Just how much did Tanil receive from this transaction?

4. Military trucks deal

In 2004/05, Somaiya and Vithlani won a milti-million-dollar tender from the defence ministry for the supply of around 650 trucks and buses for the Tanzania People's Defence Forces (TPDF). While the government paid the suppliers the full amount of money since 2006, only 350 of the vehicles are understood to have have thus far arrived in the country. In applying for this tender, the two (Somaiya and Vithlani) fraudulently claimed to be owners of INCAR Tanzania Limited, the authorised dealer for IVECO trucks from Italy.

But it was only in 2006 that Somaiya/Vithlani actually bought INCAR Tanzania Ltd. The INCAR company file has, meanwhile, mysteriously vanished at the Business Registration and Licensing Authority offices. What was Tanil's role in this apparent fraud involving the supply of military vehicles?

5. Military helicopters

Tanil and Shailesh are again alleged to have been involved in the supply of questionable helicopters to the defence ministry for the TPDF. In the first place, the duo are said to have supplied the aircraft even though they were not the chosen agents of the manufacturer, Agusta Bell. Secondly, two of the four helicopters supplied have already crashed within the country, leading to the loss of several lives. It has also been established that, apart from being overpriced, the helicopters are actually refurbished and designed for civilian use. What does Somaiya have to say about this deal?

6. Shivacom Tanzania

It is estimated that Shivacom Tanzania, a Vodacom local super dealer owned by Somaiya, registers a monthly turnover of around $15m, which translates into $180m (approx. 250bn/-) per year. Value added tax (VAT) due to the Tanzania Revenue Authority (TRA) should be around $36m (approx. 50bn/-) per year, yet the company is understood to have paid tax worth just $2m (approx. 2.8bn/-) in 2008. Is Shivacom engaged in tax evasion?

7. Purchase of companies/real estate

Over the past few years, Tanil has purchased a string of companies in the country. They include Ultimate Security Tanzania Ltd, Visual Magic Tanzania, Stefnat Engineering & Technical Services, Big Fish Graphics Tanzania, Estia Real Estate Tanzania, Alexander Forbes Insurance, Momentum Tanzania Limited, and several others. How did Tanil finance the purchases of all these companies and assets?

8. Expensive toys

Somaiya is said to have recently purchased a $400,000 (approx. 560m/-) Ferrari sports car from Italy, a $2.5m (approx. 4.5bn/-) yacht, a $350,000 (approx. 490m/-) Mercedes Benz, a private helicopter worth $6m (approx. 8bn/-), and other luxury assets. How much in taxes did Tanil actually pay for each individual item?

9. SFO Investigation

Britain's Serious Fraud Office (SFO) has been officially investigating Somaiya's involvement in the military radar scandal. In his own opinion, why does he think he is considered a prime suspect by external detectives in the whole radar deal investigation?

10. When will Somaiya answer these and other such questions that are now on the lips of many Tanzanians regarding his alleged involvement in exceptionally grand corruption?
 
Key questions that the 44-year-old Somaiya should answer

1. Military radar scandal

2. Military trucks deal

In 2004/05, Somaiya and Vithlani won a milti-million-dollar tender from the defence ministry for the supply of around 650 trucks and buses for the Tanzania People's Defence Forces (TPDF). While the government paid the suppliers the full amount of money since 2006, only 350 of the vehicles are understood to have have thus far arrived in the country. In applying for this tender, the two (Somaiya and Vithlani) fraudulently claimed to be owners of INCAR Tanzania Limited, the authorised dealer for IVECO trucks from Italy.

But it was only in 2006 that Somaiya/Vithlani actually bought INCAR Tanzania Ltd. The INCAR company file has, meanwhile, mysteriously vanished at the Business Registration and Licensing Authority offices. What was Tanil's role in this apparent fraud involving the supply of militaryvehicles?

3. Military helicopters

Tanil and Shailesh are again alleged to have been involved in the supply of questionable helicopters to the defence ministry for the TPDF. In the first place, the duo are said to have supplied the aircraft even though they were not the chosen agents of the manufacturer, Agusta Bell. Secondly, two of the four helicopters supplied have already crashed within the country, leading to the loss of several lives. It has also been established that, apart from being overpriced, the helicopters are actually refurbished and designed for civilian use. What does Somaiya have to say about this deal?

4. Shivacom Tanzania

It is estimated that Shivacom Tanzania, a Vodacom local super dealer owned by Somaiya, registers a monthly turnover of around $15m, which translates into $180m (approx. 250bn/-) per year. Value added tax (VAT) due to the Tanzania Revenue Authority (TRA) should be around $36m (approx. 50bn/-) per year, yet the company is understood to have paid tax worth just $2m (approx. 2.8bn/-) in 2008. Is Shivacom engaged in tax evasion?
5. Purchase of companies/real estate

Over the past few years, Tanil has purchased a string of companies in the country. They include Ultimate Security Tanzania Ltd, Visual Magic Tanzania, Stefnat Engineering & Technical Services, Big Fish Graphics Tanzania, Estia Real Estate Tanzania, Alexander Forbes Insurance, Momentum Tanzania Limited, and several others. How did Tanil finance the purchases of all these companies and assets?

6. Expensive toys

Somaiya is said to have recently purchased a $400,000 (approx. 560m/-) Ferrari sports car from Italy, a $2.5m (approx. 4.5bn/-) yacht, a $350,000 (approx. 490m/-) Mercedes Benz, a private helicopter worth $6m (approx. 8bn/-), and other luxury assets. How much in taxes did Tanil actually pay for each individual item?

When will Somaiya answer these and other such questions that are now on the lips of many Tanzanians regarding his alleged involvement in exceptionally grand corruption?

source THIS DAY

contracts with the government, worth well over $240m
actual value of goods supplied $90m
240 - 90 = ....DU
 
Hizo deal za Chopper na Trucks kafanya mwenyewe? ebu unganisha watanzania (WASALITI) wote waliohusika unajua upuuzi wote huu tuanusababisha sisi wenyewe alafu tunabaki kulalamika tu. I WISH YANGEPATIKA HAYA MAJINA wengi najua tunakunwa nao bia, tuwajue tuwazomee tuwatenge ikibidi tuwachomee na nyumba zao kama wafanywavyo WACHAWI NA WEZI......
 
Huyu si aliwachangia kule Dom wakati wa uchaguzi wa UVCCM milioni 300/= na mkampongeza sana kuwa ni mzalendo kumbe alikuwa anawarudishia fadhila kwa yote mliyo mtendea....mtaendelea kulia na kusaga meno.
 
Hizo deal za Chopper na Trucks kafanya mwenyewe? ebu unganisha watanzania (WASALITI) wote waliohusika unajua upuuzi wote huu tuanusababisha sisi wenyewe alafu tunabaki kulalamika tu. I WISH YANGEPATIKA HAYA MAJINA wengi najua tunakunwa nao bia, tuwajue tuwazomee tuwatenge ikibidi tuwachomee na nyumba zao kama wafanywavyo WACHAWI NA WEZI......
Kweli kabisa,tatizo letu vyombo vinavyohusika na uchunguzi, usalama na uendesha mashtaka havina meno au watumishi waadilifu na wanaoijua kazi na majukumu yao. Wangekuwa huru, kila tuhuma wanayoisikia wangeichunguza na kuifanyia kazi hivyo washirika wote wangeanikwa hadharani.
Ni kweli washirika wao hata makuwadi wao, wengine tunakunywa nao bia au tunapiga nao soga hapa JF
 
Kweli kabisa,tatizo letu vyombo vinavyohusika na uchunguzi, usalama na uendesha mashtaka havina meno au watumishi waadilifu na wanaoijua kazi na majukumu yao. Wangekuwa huru, kila tuhuma wanayoisikia wangeichunguza na kuifanyia kazi hivyo washirika wote wangeanikwa hadharani.
Ni kweli washirika wao hata makuwadi wao, wengine tunakunywa nao bia au tunapiga nao soga hapa JF
Naamini baada ya vyombo hivyo kukosa meno vimeamua kuapeal kwa jamii kwa kutumegea ishu hizi ili tujue cha kuamua wenyewe
 
Any update za kikao hiki? kinafanyika wapi na saa ngapi?

Naona kwa waandishi wa habari huu ni msimu wa neema, vijibahasha kila kona kama wabunge wa bunge letu tukufu. Wakitoka kuchukua kwa RA, hao wanaenda kwa manji kisha kwa Somaiya afu baadae kwa ndg zao wa vodacom tz ltd. I think huu msimu ni bonge la stimulus package kwa waandishi wa tz ambao wengi wanalack professionalism kwa sababu wanaendekeza njaa!

Hivi wadau hata Saed Kubenea nae anasaini bahasha za nauli kwenye vi press konference hivi??

Naona nao Channel 10 wameshaingia kwenye siasa za ITV, wao wanaonyesha habari zinazomfavour RA na supporters wake e.g. habari za Rostam mwenyewe, lipumba (CUF), Sophia Simba n.k wakati ITV wanaonyesha za Mengi na supporters wake kama Chadema, Selelii mzee wa upako (mch. Lusekelona wengineo.

Angalizo: WanaJF tusije tukaingia/tukaingizwa kwenye makundi haya yasiyo na tija, baada ya Tanzania's TV stations, Radios and newspapers ku lack objectivity (highly biased), JF ioneshe tufauti.

Siku hizi Tanzania ili uweze kupata habari fulani angalau kwa undani wake inabidi usome magazeti zaidi ya 25 na utaimu habari za TV na Radio stations zote, tofauti na hivyo unatoka na picha ndivyo sivyo - sivyo ndivyo!

kwani hamfahamu kwamba hivi sasa channel ten imenunuliwa na tanil somaiya ?
 
10 questions that Tanil Somaiya should answer



main.jpg


Tanil Somaiya.

THISDAY REPORTER
Dar es Salaam

IT has been established that the Shivacom Group of Companies proprietor, Tanil Somaiya, and his former business partner, Shailesh Vithlani, are both alleged to have been behind dubious procurement contracts with the government, worth well over $240m (approx. 300bn/-), in the past few years.

According to well-placed sources familiar with the activities of the two businessmen, they were paid so handsomely by the government despite the fact that the actual value of goods supplied through them was more in the region of $90m (approx. 120bn/-) only.

But while Vithlani is understood to have since skipped the country and remains a wanted fugitive, Somaiya (pictured) has maintained his innocence over these dealings, and continues to conduct his business activities openly within the country.

Under the Shivacom Group of Companies incorporated in 2006, Tanil has branched out into various business interests including telecommunications, security, construction, advertising, promotion, and real estate.

Still, here are ten vital questions that the 44-year-old Somaiya is facing with regard to the corruption allegations now being levelled against him:

1. The Shailesh Vithlani connection

Tanil has admitted to being a close friend and business partner of the fugitive military radar deal agent for many years. In fact, the two - bosom buddies from childhood days in Mwanza - jointly registered a business company, Merlin International Limited, in 1986. They were joint sole shareholders of this company and another firm, Vithcorp, until January 2008, when Tanil announced he had ceased all his business connections with Vithlani.

But since Merlin International was the company used to push through all the afore-mentioned suspicious government deals, which were all done when Tanil and Shailesh were still business partners, how did Tanil personally benefit?

2 As joint shareholder, wasn’t he an active and willing partner of Vithlani in all the deals involving Merlin International � and, for that matter, Vithcorp � another company understood to have been involved in various shady deals?

3. Military radar scandal

In 2006/07, both Somaiya and Vithlani - as directors of Merlin International Ltd - were interrogated by detectives from Britain’s Serious Fraud Office (SFO) before a magistrate at the Kisutu Resident Magistrate’s Court in Dar es Salaam. Tanil and Shailesh both admitted under oath that they held power of attorney over Envers Trading Corporation, a company that received illegal kickbacks amounting to $12m from BAE Systems, the manufacturer of the military radar purchased by the Tanzanian government in 2001/02. Just how much did Tanil receive from this transaction?

4. Military trucks deal

In 2004/05, Somaiya and Vithlani won a milti-million-dollar tender from the defence ministry for the supply of around 650 trucks and buses for the Tanzania People’s Defence Forces (TPDF). While the government paid the suppliers the full amount of money since 2006, only 350 of the vehicles are understood to have have thus far arrived in the country. In applying for this tender, the two (Somaiya and Vithlani) fraudulently claimed to be owners of INCAR Tanzania Limited, the authorised dealer for IVECO trucks from Italy.

But it was only in 2006 that Somaiya/Vithlani actually bought INCAR Tanzania Ltd. The INCAR company file has, meanwhile, mysteriously vanished at the Business Registration and Licensing Authority offices. What was Tanil’s role in this apparent fraud involving the supply of military vehicles?

5. Military helicopters

Tanil and Shailesh are again alleged to have been involved in the supply of questionable helicopters to the defence ministry for the TPDF. In the first place, the duo are said to have supplied the aircraft even though they were not the chosen agents of the manufacturer, Agusta Bell. Secondly, two of the four helicopters supplied have already crashed within the country, leading to the loss of several lives. It has also been established that, apart from being overpriced, the helicopters are actually refurbished and designed for civilian use. What does Somaiya have to say about this deal?

6. Shivacom Tanzania

It is estimated that Shivacom Tanzania, a Vodacom local super dealer owned by Somaiya, registers a monthly turnover of around $15m, which translates into $180m (approx. 250bn/-) per year. Value added tax (VAT) due to the Tanzania Revenue Authority (TRA) should be around $36m (approx. 50bn/-) per year, yet the company is understood to have paid tax worth just $2m (approx. 2.8bn/-) in 2008. Is Shivacom engaged in tax evasion?

7. Purchase of companies/real estate

Over the past few years, Tanil has purchased a string of companies in the country. They include Ultimate Security Tanzania Ltd, Visual Magic Tanzania, Stefnat Engineering & Technical Services, Big Fish Graphics Tanzania, Estia Real Estate Tanzania, Alexander Forbes Insurance, Momentum Tanzania Limited, and several others. How did Tanil finance the purchases of all these companies and assets?

8. Expensive toys

Somaiya is said to have recently purchased a $400,000 (approx. 560m/-) Ferrari sports car from Italy, a $2.5m (approx. 4.5bn/-) yacht, a $350,000 (approx. 490m/-) Mercedes Benz, a private helicopter worth $6m (approx. 8bn/-), and other luxury assets. How much in taxes did Tanil actually pay for each individual item?

9. SFO Investigation

Britain’s Serious Fraud Office (SFO) has been officially investigating Somaiya’s involvement in the military radar scandal. In his own opinion, why does he think he is considered a prime suspect by external detectives in the whole radar deal investigation?

10. When will Somaiya answer these and other such questions that are now on the lips of many Tanzanians regarding his alleged involvement in exceptionally grand corruption?
 
Back
Top Bottom