Myebusi Mweusi
JF-Expert Member
- Jan 23, 2022
- 668
- 1,505
Kufanya maongezi marefu yafupike. Nilipokea mshahara wangu wa December 900,000. Baada ya hapo kampuni imekuwa ikipitia changamoto mbalimbali ikiwa ni pamoja na mkurugenzi kuumwa.
Maradhi ya mkurugenzi yanasababisha hela karibu yote iende kwenye matibabu.
Mshahara wa January sijapewa na wa huu mwezi wa pili sidhani kama nitaambulia chochote, maana boss hali imegoma kukaa sawa.
Walimu na watumishi wa halmashauri naombeni mawazo yenu mliwezaje kukaa na familia miezi mitatu bila kupokea kitu chochote?
Maradhi ya mkurugenzi yanasababisha hela karibu yote iende kwenye matibabu.
Mshahara wa January sijapewa na wa huu mwezi wa pili sidhani kama nitaambulia chochote, maana boss hali imegoma kukaa sawa.
Walimu na watumishi wa halmashauri naombeni mawazo yenu mliwezaje kukaa na familia miezi mitatu bila kupokea kitu chochote?