Lengo la taarifa ni kueleweka kwa inaye mfikia na ni bidii ya mtoa taarifa kuifanya taarifa yake/ ujumbe ueleweka hivyo basi kama atafumba fumbo au kuitoa kwa minajili ya kuonekana yeye ni mwerevu kwa kufanya watu wasielewe basi usiumize kichwa ndugu, achana nayo