Tangu hotuba ya Magufuli Chato mbele ya wakuu wa Vyombo vya Dola msitegemee kutangaziwa wagonjwa wapya wa COVID 19

Kiboko ya Jiwe

JF-Expert Member
Apr 7, 2020
12,480
35,371
Kuna siku niliandika Uzi kama Tetesi nikisema kuwa Tanzania hakuna lockdown mkaufuta licha ya kutoa sababu. The same day jioni yake mkuu akasema yale niliyoyasema.

Sasa ni wazi kuwa takwimu halisi za wagonjwa wa COVID 19 hamtapewa, mkipewa mjue kuwa zimechakachuliwa.

Sasa ni mwendo wa bata na vifaranga wake, kila mmoja ajilinde.

Ukicheza na ukajawa na amani wakati huu wa hatari ukasahau kujilinda unakwenda
 
Wapukutike wenyewe
Wakuu huu sio utani watu wanakufa sana na corona.
Nina rafiki zangu wengi wanatujuza maswahibu yanayowakuta yatokanayo na corona lakini hakuna wa kutangaza.
Mbunge wa Arumeru mashariki mdogo wake kafariki kwa corona na familia iko karantini.
Arusha central police kuna askari kadondoka kazini kwa matatizo ya corona na sasa usipovaa mask huingii kuhudumiwa, haitangazwi.

Matukio ni mengi mno
Ni msimu wa kupukutika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
51 Reactions
Reply
Back
Top Bottom