Zito Kabwe kimya kabisa juu ya hili.No new cases......labda wameona kutangaza cases mpya hakuna faida zaidi ya kuongeza taharuki kwa raia na kupokea critics nyingi
Kabisa.....Huu ugonjwa ni kama mimba ..utaficha weeee ila mwisho wa siku kila kitu utaweka hadharani mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila shaka tumeshaushinda.