Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,281
- 7,061
Mwenye akilpi ndogo kama punje ya haradali atabisha.
Ukweli ni kwamba rais Magufuli alikuwa ameliunganisha taifa kwa kila namna. Na ndio maana hata aliposema tuweke siasa kando hata Wananchi wa kawaida hawakulalama. Maana waliona anapiga kazi kwa wananchi wote.
Aliunganisha wananchi wote wa kila dini. Ndio maana alipambana kuhakikisha ule msikiti mkubwa unakamilika maeneo ya Kinondoni.
Ideologically taifa liliungana na kuwa kitu kimoja maana hata wale wanyonge walianza kupata confidence kuwa taifa lao lipo mikononi mwao.
Tangu amefariki kwa kutatanisha maana alipotea zaidi ya wiki nne bila kuonekana hadharani. Taifa limeganyika.
Ukweli ni kwamba rais Magufuli alikuwa ameliunganisha taifa kwa kila namna. Na ndio maana hata aliposema tuweke siasa kando hata Wananchi wa kawaida hawakulalama. Maana waliona anapiga kazi kwa wananchi wote.
Aliunganisha wananchi wote wa kila dini. Ndio maana alipambana kuhakikisha ule msikiti mkubwa unakamilika maeneo ya Kinondoni.
Ideologically taifa liliungana na kuwa kitu kimoja maana hata wale wanyonge walianza kupata confidence kuwa taifa lao lipo mikononi mwao.
Tangu amefariki kwa kutatanisha maana alipotea zaidi ya wiki nne bila kuonekana hadharani. Taifa limeganyika.