Tangazo la ndoa

Tangazo la ndoa

Heeeeeeeeeeeee.................

Jibu swali, maana kuna Chilli, tedo, Chibolo, Chimbuvu, rutta, Shark , kiplagati126, Remote, Ben Saanane, e.t.c, e.t.c, kwa sasa sikufungishi ndoa tena, naongea na secretary wangu mteule ladyfurahia akutengenezee cheti chako maalum cha ndoa binafsi kitakachokuwa na nafasi zilizo wazi ambamo utakuwa unajaza jina la kila mume mpya unayempata bila hata kunishirikisha, utakuwa unanipa taarifa tu.. umenichosha we mwana, mwaka mmoja nimekufungisha ndoa saba, wewe tu....
Copy: watu8, gfsonwin, Kipipi, Ruttashobolwa, Judgement...
 
Last edited by a moderator:
Jibu swali, maana kuna Chilli, tedo, Chibolo, Chimbuvu, rutta, Shark , kiplagati126, Remote, Ben Saanane, e.t.c, e.t.c, kwa sasa sikufungishi ndoa tena, naongea na secretary wangu mteule ladyfurahia akutengenezee cheti chako maalum cha ndoa binafsi kitakachokuwa na nafasi zilizo wazi ambamo utakuwa unajaza jina la kila mume mpya unayempata bila hata kunishirikisha, utakuwa unanipa taarifa tu.. umenichosha we mwana, mwaka mmoja nimekufungisha ndoa saba, wewe tu....
Ukiona hivyo anapendwa sanaaaa
 
Jibu swali, maana kuna Chilli, tedo, Chibolo, Chimbuvu, rutta, Shark , kiplagati126, Remote, Ben Saanane, e.t.c, e.t.c, kwa sasa sikufungishi ndoa tena, naongea na secretary wangu mteule ladyfurahia akutengenezee cheti chako maalum cha ndoa binafsi kitakachokuwa na nafasi zilizo wazi ambamo utakuwa unajaza jina la kila mume mpya unayempata bila hata kunishirikisha, utakuwa unanipa taarifa tu.. umenichosha we mwana, mwaka mmoja nimekufungisha ndoa saba, wewe tu....

......
4040034253_e63fbb0a1d.jpg
Baba V, Tafadhaliiii.
 
Last edited by a moderator:
Nyama ya bata ni tamu nyama ya bata ni tamu....kwa ugali ni tamuu kwa wali ni tamuu
 
usifanye uamuzi mgumu kiasi hicho kwanini ujitoe roho yako kisa mwanamke yaani penzi ndo likupeleke jehanamu bestito? usijiue wako wengi humu mjengoni wewe chagu umtakaye halafu natangaza NIA yako wachangiaji tupo na tualike kwenye kikao mm nitakuwa KATIBU katika kikaoc hako cha harusi na nitakuwa MSEMAJI siku hiyo na kapu la utunza hazina alishike Filipo na uenyekiti mwambie my cousin charminglady anafaa zaidi hupo hapo


Unaakili nyingi sana! Kapu la hela ni sahihi kukaa kwangu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom