Tangazo la ndoa

Tangazo la ndoa

tunakuambia ndugu usijetumbukia shimoni bure wakati bado mapema haya shauriro kwani asiyesikia la mkuu uvunjika guu haya bhana mm sikulazimishi ni mapendo yako tu kwake na sitaki kumharibia mdada wa watu mie akaaaaaaaaa!

Madame B njoo mpenz unyoshe mstari
 
Last edited by a moderator:
usifanye uamuzi mgumu kiasi hicho kwanini ujitoe roho yako kisa mwanamke yaani penzi ndo likupeleke jehanamu bestito? usijiue wako wengi humu mjengoni wewe chagu umtakaye halafu natangaza NIA yako wachangiaji tupo na tualike kwenye kikao mm nitakuwa KATIBU katika kikaoc hako cha harusi na nitakuwa MSEMAJI siku hiyo na kapu la utunza hazina alishike Filipo na uenyekiti mwambie my cousin charminglady anafaa zaidi hupo hapo
Ntajiua mwenzenu
 
Last edited by a moderator:
usifanye uamuzi mgumu kiasi hicho kwanini ujitoe roho yako kisa mwanamke yaani penzi ndo likupeleke jehanamu bestito? usijiue wako wengi humu mjengoni wewe chagu umtakaye halafu natangaza NIA yako wachangiaji tupo na tualike kwenye kikao mm nitakuwa KATIBU katika kikaoc hako cha harusi na nitakuwa MSEMAJI siku hiyo na kapu la utunza hazina alishike Filipo na uenyekiti mwambie my cousin charminglady anafaa zaidi hupo hapo

Mwenyewe kanikubali charminglady naimba uniongozee shughuli
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom