Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,611
Laiti Watanzania Tungekuwa Nasi Tuna Ujuzi Huu Huu Wa Kuangalia Makosa Ya Wenzetu Haswa Ktk Maisha Yetu Ya Kila Siku Wote Naamini Tungekuwa WATAKATIFU Ila Watanzania Ni Wazuri Sana Kukosoa Makosa Ya Wenzao! Inafurahisha Mno Na Ndiyo Maana Naipenda Tanzania Na Watanzania Pia!
Wakosoaji wote nikiwamo mimi tuko sahihi kukosoa, hata wazungu wanakosoa na sio Watanzania tu, hujasikia watu wanaitwa movie critics kwa wazungu? Tangazo baya sana lile,