GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,451
- 127,626
Nawaomba walitengeneye upya.
Wamekusikia Ngoja " Walitengeneye " Upya Na Muda Si Mrefu Utaliona!
Nawaomba walitengeneye upya.
King'amuzi HAKICHUKIWI ila kinachotukera ni mantiki iliyotumika kukitangaza.
hapana
basi tulia na tuache wenye visambuzi tutambe humu sawa?:smiling::smiling::smiling:
kuna sehemu nimewashika
Ulitaka dakika ipite halafu tangazo liwe refu wachajiwe gharama kubwa?pia kwenye television halipo poa coz mtu anakutwa katoka kwa jiran af bado jiran huyo huyo anakuja na kusema nimewackia mkilumbana mda mrefu huku hata dakika haijapita
Tangazo la kisenge kuwahi kutengenezwa.
Wapi? Wengine JF Ndiyo Tv Na Redio Yenu.
Mkuu, una mapengo....kutengeneya ni kitu gani?
Tangazo la kisenge kuwahi kutengenezwa.
JF mambo yote kwangu mimi
Ngoja Siku Tugome Humu Kutoa Nyuzi Halafu Tuone Uta Habarika Vipi? Kwamfano Kuna Breaking Nyuzi Moja Tena Veri Nyeti Lakini Siitoi Kwakuwa Najua Ukishaijua Tu Basi Hapo Ulipo Watakukoma!
Decoder yenyewe haina issue kabisa toka 2013 channel 23 Moja ya sports haifanyi kazi
Tena silipendi kabisa wewe umkute mkeo anatoka kwa jirani yako tena wapo wawili tu halafu wanakuletea hadithi za king'amuzi sijui kama utawaelewa wanatakiwa kuwa wabunifu waweke tangazo la kuwafurahisha Wateja na sio kutuboha kama wanavyofanya
Na lile la radio yule mwanamama kama mlevi hivi aliyebobea!