KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,830
- 12,314
Hakisiklachisklachi na kipo kliaaa.
Tangazo la kisenge kuwahi kutengenezwa.
Hakisiklachisklachi na kipo kliaaa.
Hakisiklachisklachi na kipo kliaaa.
Mmhr hapa umenipa shida,nimerudia kama mara kumi hivi,loh!
Tena wakati jamaa mwenye mke anaingia yule jirani yake anakuwa amekaa kwenye pozi la woga na hofu alafu huyo huyo tena anapata ujasiri kuja kwa jirani yake
Nawaomba walitengeneye upya.
Sasa mkuu ulitaka tangazo liwe kama muvi. Wenzio wameweka muhtsari wakimaanisha kuwa hayo mengine unajaza mwenyewe kichwani mwako. Hivi kama wakionesha wanaangalia TV, wanapiga simu kwa wakala kisha wazungumze watoe anuani ya mtaa na kuleta king'amuzi (nadhani kuna jina sahihi la kiswahili na si hili) kisha kufunga, hilo tangazo litaisha leo?Hata lile lile l kwenye TV walioliandaa hawakuwa serious...Yule bint amefika kwa jiran kabla hawajaingia hata ndan wakamuona jamaa ake kaja...Dem akamfuata jamaa anamuuliza umetoka wap? dem kwa jiran kuangalia TV wakat walikuwa wamesimama mlangon na yule jiran anatokea hapo hapo anasema nimewasikia mda mrefu mkilumbana....Jiran anatoa namba za wasambazaj wa hicho king;amuz kabla hawajapigiwa eti washaanza ingiza ungo ndan,Any way mbali na hayo STAR TV ni channel ninayoipenda sana hasa kutizama taarifa ya habar zao.
Sasa mkuu ulitaka tangazo liwe kama muvi. Wenzio wameweka muhtsari wakimaanisha kuwa hayo mengine unajaza mwenyewe kichwani mwako. Hivi kama wakionesha wanaangalia TV, wanapiga simu kwa wakala kisha wazungumze watoe anuani ya mtaa na kuleta king'amuzi (nadhani kuna jina sahihi la kiswahili na si hili) kisha kufunga, hilo tangazo litaisha leo?
Mara ngapi humu watu wanalalamikia bongo muvi kuonesha matukio yasiyo na umuhimu kama vile mtu anapotaka kutoka na gari anafunguliwa geti halafu anatoka anaendesha barabarani ambako hakuna tukio lolote la muhimu tena wanaweka na 'slow motion' kabisa? Na hiyo ni muvi watu wanalalamika sasa ikiwekwa kwenye tangazo si itaboa.
Mimi nadhani kunaweza kuwa na mapungufu ya hapa na pale lakini kwa jirani kusema nimewasikia muda mrefu mkilumbana ni sawa kwa kuwa tuna-assume hiyo argument haijaoneshwa yote. After all muda mrefu kwani ni upi?
Tangazo la kisenge kuwahi kutengenezwa.
pia kwenye television halipo poa coz mtu anakutwa katoka kwa jiran af bado jiran huyo huyo anakuja na kusema nimewackia mkilumbana mda mrefu huku hata dakika haijapita
Ndio maana nimewaomba wawasiliane na CRDB (japo hawapendi) kwa taaluma za kutayarisha matangazo.that's why makampuni ya simu huwa wanaleta directors kutoka thailand, india, Indonesia. kwanza directive zake ni poor maana actors wana over act, interpretation ya concept ni weak, aliyepiga picha ni mwehu kabisa maaana amecross.
Me nilijua niko peke yangu, kumbe tupo wengi.
Hata lile lile l kwenye TV walioliandaa hawakuwa serious...Yule bint amefika kwa jiran kabla hawajaingia hata ndan wakamuona jamaa ake kaja...Dem akamfuata jamaa anamuuliza umetoka wap? dem kwa jiran kuangalia TV wakat walikuwa wamesimama mlangon na yule jiran anatokea hapo hapo anasema nimewasikia mda mrefu mkilumbana....Jiran anatoa namba za wasambazaj wa hicho king;amuz kabla hawajapigiwa eti washaanza ingiza ungo ndan,Any way mbali na hayo STAR TV ni channel ninayoipenda sana hasa kutizama taarifa ya habar zao.
Sijawahi kuliona wala kulisikia
King'amuzi HAKICHUKIWI ila kinachotukera ni mantiki iliyotumika kukitangaza.Naona Wengi Humu Mmekereka Nalo Hebu Basi Nifundisheni Na Mimi au Mniambie Nami Nifanyeje Ili Nilichukie Kama Nyie Wenzangu Kisha Nije Humu Niseme Kuwa Nami Halijanifurahisha? Hebu Niambukizeni Hizo Chuki Dhidi Ya Hicho Kisambusi Cha Continental.
Una Tv Set Kwako?