Perpendicular
JF-Expert Member
- Jul 5, 2015
- 1,494
- 1,185
Kweli mtaka cha uvunguni sharti anyanyue kitanda maana dunia imeharibika.
Kweli kabisa...maana Shekh kipoozeo ndo mambo zake hiziPossible ana neema za 'SHEKH KIPOOZEO'
Haswaaaa...hata Shekh Nyundo anajua utamu wa watoto wa mwambao.Hats Shekhe Kipozeo....anaijua miguu hii ya akina "miss Bantu"
Ukienda kazini unanukia kama chai na maandazi[emoji124] [emoji124] [emoji124]Lazima maji ya kuoga uwekewe iliki na amdalasini
Itokee tu shekhU
Kweli kabisa...maana Shekh kipoozeo ndo mambo zake hizi
Haswaaaa...hata Shekh Nyundo anajua utamu wa watoto wa mwambao.
Madada poa? DuhHapo hapo kuna mwembe wanajiuza madada poa
Yes. Mbona umeshangaaMadada poa? Duh
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]bashite akiletwa huku atachanganyikiwa atahonga hadi gari ya serikali
Ukhuty mansha'allah tanga rahaaa
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] mkuu mimi cmoooHuyu atakuwa faiza foxy
MtumeeeeMambo ya matunzo pia ni muhimu, unaoa mtoto kama huyo unamwambia akatafute maji saa 12 na kutafuta kuni.
Kweli kabisa[emoji23] [emoji23]
Umeonaeee mamb ya tanga hayUkhuty mansha'allah tanga rahaaa
Dah!!!hongera zake ana miguu mizuri.
Ohooooo!!!bashite akiletwa huku atachanganyikiwa atahonga hadi gari ya serikali