Tanga mbali lakini nitakuja hata kwa miguu

Tanga mbali lakini nitakuja hata kwa miguu

Ha ha ha ha ha unaenda trip na shemej yako enhee ila sio Mbaya set the date then ila tutapita tanga tukirud
Kwani mkwe kuna ubaya? Mbona huko Tanga umepakazania sana mkwe? Utakwenda na dota mie siendi.
 
Kwani mkwe kuna ubaya? Mbona huko Tanga umepakazania sana mkwe? Utakwenda na dota mie siendi.
Ahaa nimewaza tu muda wa kulala na shemej yako mtazima taa au ndio manfongo ila sio ishu trip arusha kuna jengne kwan
 
Duh! Hii shughuli inachukua masaa mangapi mpaka kumaliza? Kuna hina za kwenye mapaja, mgongoni na kwenye tako hizi nazo huvutia sana.

7aca5c1db62f4196a8a10e8c8a901899.jpg
 
Back
Top Bottom