Kalamzuvendi
JF-Expert Member
- Sep 21, 2009
- 639
- 739
Nakumbuka miaka hio nilishikwaga na mgwinya mmoja anaitwa shakau siwezi kumsahau mtu nilikutana nae ndani ya wiki moja ananiambia ana mimba yanga na nikakubali
Hahahahaha!!, nimecheka ile mbaya.
Nakumbuka miaka hio nilishikwaga na mgwinya mmoja anaitwa shakau siwezi kumsahau mtu nilikutana nae ndani ya wiki moja ananiambia ana mimba yanga na nikakubali
HahahaaaKuna seminar moja tulienda team ya watu 14, seminar iliisha Ijumaa, mpk Jumanne watu 8 tuliokuwa nao Tanga walikuwa bado kuripot ofisini.
Dah ..... Tanga ipi hiyo? Nimezunguka sana lakini sijaona chochote cha ajabu . . naombeni ramani nirudi tena
Tanga mimi naona kwa kawaida sana kila nikinyatia watoto nakosaYaan mimi hata likizo huwa sihangaiki na dubai wala zanzibar,mi ni Tanga tu utanikuta pale barabara ya9 na 6 *****
Au kule kwenye upepo wa pwaniii.nikianzia Tanga beach
Tanga rahaaa...
Wapi wali nazi...
Baadae kisosi cha kutilia korodani dah
mkuuHebu Mr Iceman 3D twambieKuna mahali hapa Tanganyika viwanda vilibaki?
Kuna mahali hapa Tanganyika viwanda vilibaki?
Aaah
Tangaaa
Ndio maana viwanda vilikufa
Inaonekana watu walikuwa hawendi kazin kabsa
Hebu Mr Iceman 3D twambie
Mi mwenyewe nashangaa au kuna Tanga mbili hapa bongo?Dah ..... Tanga ipi hiyo? Nimezunguka sana lakini sijaona chochote cha ajabu . . naombeni ramani nirudi tena
HahahahaaKuna seminar moja tulienda team ya watu 14, seminar iliisha Ijumaa, mpk Jumanne watu 8 tuliokuwa nao Tanga walikuwa bado kuripot ofisini.
Hahaha! Mkuu Mungu anakuona!Aaah
Tangaaa
Ndio maana viwanda vilikufa
Inaonekana watu walikuwa hawendi kazin kabsa
Mkuu umenigusa hongera tanga wala raha weyemMtoto kachanganya unyamwezi ,usomali manga ,jikoni mapishi anajua karanga ....
Wacha tu tukae huku maana huko kwenye siasa ni stress tu
Ndio mambo ya tanga hayo.....![]()
![]()
![]()
![]()
mkuu
Korodan kwenye kisosi. Dah!