Tanga... jamani nasema Tangaaa

Tanga... jamani nasema Tangaaa

Mtumeee,tanga ndiko niliko chukua jiko kitu cha kidigo jamani nafaidi raha ya dunia kila idara ipo deko, mahabati,mapishi ndio kwenyewe Shekhe Uzi huu umenikuna Maji ya kuoga yananakshiwa jamani tanga tanga uuwiiiii tanga mambo safi sasa kwa manukato hapo mkuu ndio penyewe hadi sehemu zileee.....acha mchezo ama kweli tanga kunani
.
Hongera Shemeji
 
Raisi wa Kenya Jomo Kenyata ashapikiwa viandazi vya shira viandazi vidogodogo vyenye sukari ila vitamu sana ukila mdomo unafanya kububujika mate. Alivyomaliza Kenyata akasema naombeni mbegu za huu Mtunda nikaupande Kenya. Watu walibaki kucheka tu wakamwambia mzee hii ni Tanga.
Mmmh wacha wee
 
8c216ab07c5b8eccfcde4ffb4e6e32b4.jpg


Muheza hapa
 
Tanga kawaida tu mnaikuza bure

Tanga ilikuwa Zaman

Ila km wewe ni mpenz wa Haya mambo ya kangamoko na
baikoko utainjoy
Mana karibu kila siku wanaamsha msha
 
Maneno hata kwenye kanga yapo hamna lolote madoido mengi daudi basherty mtupu
 
Mkuu Uzi huu tupia kila siku humu tuchangie umenikuna haki ya mungu jamani tanga mapenzi yalishukia pale hata mwanaume uwe mkatili VP pale lazima uwe mpoleee kimsingi wanajua MAHABATI mnoooo usiambiwe mkuu "ushapikiwa kshata ya maharage" acha kabsa.
Kishata ya maharage ndo ikoje hiyo bwasheee
 
Back
Top Bottom