Rohombaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 13,078
- 10,425
Dah... Hii mbona kawaida sana...unaweza kupata hata buku 50 haifiki
Dah... Hii mbona kawaida sana...unaweza kupata hata buku 50 haifiki
Hahaaaaa kweli raha, lkn inabidi uwe na pesa mkuuNdio mambo ya tanga hayo.....
Wakalishwa kwenye kigoda korodani zawekewa kisosi zisiguse chini alafu zapakwa asali tayari kurambwa.
Aisee Tanga kuna mambo
Tanga rahaaa
Wala pesi sio kigezo kivile mkuu..Hahaaaaa kweli raha, lkn inabidi uwe na pesa mkuu
Sawa mkuu lkn ukiwa na pesa yana noga zaidi kwasababu kila unachotaka ili kunogesha mapenzi unakipataWala pesi sio kigezo kivile mkuu..
Ni mapenzi mubashara....
Inabidi na wewe ujue kupiga show
Wow,Kunani tanga jamani?? Namimi niuze subaru yangu nihamie huko
Hahaaaa watu mnamaneno jamaniii!!!! KhaaaaTanga sio mchezo wazee. Unakuta nyumba ya udongo ukiiangalia kwa nje utaona kama gofu ingia ndani sasa. Nakwambia hiyo Serena Hotel iko nyuma jinsi ndani palivyopambwa na kupendeza.
Raisi wa Kenya Jomo Kenyata ashapikiwa viandazi vya shira viandazi vidogodogo vyenye sukari ila vitamu sana ukila mdomo unafanya kububujika mate. Alivyomaliza Kenyata akasema naombeni mbegu za huu Mtunda nikaupande Kenya. Watu walibaki kucheka tu wakamwambia mzee hii ni Tanga.Kuna seminar moja tulienda team ya watu 14, seminar iliisha Ijumaa, mpk Jumanne watu 8 tuliokuwa nao Tanga walikuwa bado kuripot ofisini.
Hayo mambo hayapo sana siku hizi.Ndio mambo ya tanga hayo.....
Wakalishwa kwenye kigoda korodani zawekewa kisosi zisiguse chini alafu zapakwa asali tayari kurambwa.
Aisee Tanga kuna mambo
Tanga rahaaa
Mkuu inaonekana Tanga unaijua sana, hebu tupe mambo zaidiRaisi wa Kenya Jomo Kenyata ashapikiwa viandazi vya shira viandazi vidogodogo vyenye sukari ila vitamu sana ukila mdomo unafanya kububujika mate. Alivyomaliza Kenyata akasema naombeni mbegu za huu Mtunda nikaupande Kenya. Watu walibaki kucheka tu wakamwambia mzee hii ni Tanga.
We utakua uko KilindiDah ..... Tanga ipi hiyo? Nimezunguka sana lakini sijaona chochote cha ajabu . . naombeni ramani nirudi tena
Tatizo plet namba unayotumia!Dah ..... Tanga ipi hiyo? Nimezunguka sana lakini sijaona chochote cha ajabu . . naombeni ramani nirudi tena
Hahahahahah huo uongo bhnaKuna Mwalafyale alileta mchele wa biashara, katika kutafuta wateja na soko akutana na mambo hayo hapo juu, licha ya hivyo akitoka kwenye mihangaiko anakuta mahanjumati kwenye sahani vimefunikwa kwa kawa. Baba wa watu ameuza ule mchele akaanza kumega faida, mwisho mtaji, mwisho pesa imekwisha akatafuta kibarua. Imepita miaka mitatu nduguzake wanakuja kumtafuta, wanamkuta na balghashia anatoka na Tasbih.
Ikawaje mkuu ?Nakumbuka miaka hio nilishikwaga na mgwinya mmoja anaitwa shakau siwezi kumsahau mtu nilikutana nae ndani ya wiki moja ananiambia ana mimba yanga na nikakubali