Tanga... jamani nasema Tangaaa

Tanga... jamani nasema Tangaaa

Kuna seminar moja tulienda team ya watu 14, seminar iliisha Ijumaa, mpk Jumanne watu 8 tuliokuwa nao Tanga walikuwa bado kuripot ofisini.
Ndio maana JPM alifuta hizo semina, hazina tija zinaa tupu
 
Yaan mimi hata likizo huwa sihangaiki na dubai wala zanzibar,mi ni Tanga tu utanikuta pale barabara ya9 na 6 *****
Au kule kwenye upepo wa pwaniii.nikianzia Tanga beach
usifananishe dubai na upuuzi wa tanga mkuu ua we ni mwanachama wa 071 maana barabara ya 9 mv nine ni mashoga watupu aua ufananishe znz na tanga mi nahis umerogwa usichezee na znz mambo ya foro k.koo bado hukwenda north coast kiwengwa au kendwa rocks
 
hujui starehe wewe tanga kuna stareh ipi moja wapo tunaomba utuambie
Kweli Tanga hakuna sehemu za starehe kama tunavyosikia tukiwa nje ya ule mkoa. Sana sana utaambiwa 'Tanga Pazuri' pale karibu na Sabasaba. Zunguka sehemu zote mjini Tanga, Raskazone, Masiwani, Donge, Makorora, Makojoni, Majani Mapana, Sahare, Amboni, Kange, Chumbageni, Usagara, barabara ya kwanza hadi ya ishirini, hakuna kitu chochote cha maana!
 
utajuta bora ukae tandale kwa mtogole kuliko kwenda kuish tanga
Sure!
Kule uswahili mtupu.
Hadi dala dala za Tanga zimeandikwa vijimaneno vya uswahili, mfano : 'Ukimya nao dawa', 'who the cap fit...', 'Abdallah Adeka', 'Mtasema Sana'....
 
TANGA,... NYUMBA MOJA MGANGA NYUMBA NYINGINE MCHAWI, NYUMBA MOJA BASHA NYUMBA NYINGINE CHOKO ,HATAREEEE, WAGOSI WA KAYA WALIIMBA KUNA WALE KINA KAKA WANAO .................
 
Basi mm ni sungura wa Grade ya juu sana mbona Tanga napaona kawaida sana na wadada wake
 
Tanga raha sana ukiona mtu anaiponda tanga ujue huyo ankaribia kua mchawi, kweli ukae tanga ushindwe kuona tofauti ya wanawake wa hapa na wa huko kolomije?
 
Back
Top Bottom