TANESCO wanataka ninunue transformer

TANESCO wanataka ninunue transformer

Hii taarifa yangu umeipa tracking namba ngapi?Au ni stori za JF bado kwako?
Haina taarifa kamili kwa kuwa JF hauwezi kupata ticket number mpaka utoe ushirikiano ziingizwe kwenye mfumo
 
Haina taarifa kamili kwa kuwa Jf hauwezi kupata ticket number mpaka utoe ushirikiano ziingizwe kwenye mfumo
Mimi ni mteja wa JF,handle yango ipo,DM yangu ipo wazi,Malamiko yangu ni KWAMBA Tanesco dawati la huduma kwa wateja wanatoa huduma mbovu,nimeripoti issue yangu hawajanipa majibu.Ukifungua hii ukanipa tracking namba DM napiga simu hapo makao makuu kisha niwape taarifa kamili upya ila mjue udhaifu wenu upo wapi.

Kama ukiweza kufanya hivyo nitalipia supu na chapati mchana huu kwa ajili yako.
 
Mpaka sasa haujafanya wajibu wako wa msingi wa kutoa taarifa ili tujue undani wa swala lako, tunasikitika sana pale ambapo tunaomba taarifa kamili na wewe unajibu kwa ujumla, hakuna huduma bora bila taarifa zako, toa hata namba ya simu tutaona kila kitu kupitia mifumo yetu
Taarifa yangu kamili nii hii kwamba TANESCO dawati la huduma kwa wateja wanatoa huduma mbovu.Niliwapa taarifa ya tatizo langu na hawalishughulikia wala kunipa majibu yoyte kwa zaidi ya wiki moja.Nipe tracking namba then nitawapigia kuwapa maelezo mengine.

PROVE to me kwamba mnajua mnachokifanya hapo mlipo.au la.
 
Mimi ni mteja wa JF,handle yango ipo,DM yangu ipo wazi,Malamiko yangu ni KWAMBA Tanesco dawati la huduma kwa wateja wanatoa huduma mbovu,nimeripoti issue yangu hawajanipa majibu.Ukifungua hii ukanipa tracking namba DM napiga simu hapo makao makuu kisha niwape taarifa kamili upya ila mjue udhaifu wenu upo wapi.

Kama ukiweza kufanya hivyo nitalipia supu na chapati mchana huu kwa ajili yako.
Tumepokea kwa hatua zaidi na tunafuatilia
 
Taarifa yangu kamili nii hii kwamba TANESCO dawati la huduma kwa wateja wanatoa huduma mbovu.Niliwapa taarifa ya tatizo langu na hawalishughulikia wala kunipa majibu yoyte kwa zaidi ya wiki moja.Nipe tracking namba then nitawapigia kuwapa maelezo mengine.

PROVE to me kwamba mnajua mnachokifanya hapo mlipo.au la.
Tafadhali onesha namba ya simu uliyotolea taarifa
 
Mpaka sasa haujafanya wajibu wako wa msingi wa kutoa taarifa ili tujue undani wa swala lako, tunasikitika sana pale ambapo tunaomba taarifa kamili na wewe unajibu kwa ujumla, hakuna huduma bora bila taarifa zako, toa hata namba ya simu tutaona kila kitu kupitia mifumo yetu
Amekuambia utoe namba ya mkuu wa kitengo cha huduma kwa wateja unashindwa nini ,mbona unang'ang'ania tu atoe namba yake na details ,yeye anataka namba ya mkuu wa kitengo cha huduma atampigia wewe unaona ugumu gani kutoa hiyo namba ili na wengine watumie matatizo yao kutatuliwa badala ya kuendeleza ule ule mfumo wa mlolongo wa kujenga mazingira ya upigaji
 
Amekuambia utoe namba ya mkuu wa kitengo cha huduma kwa wateja unashindwa nini ,mbona unang'ang'ania tu atoe namba yake na details ,yeye anataka namba ya mkuu wa kitengo cha huduma atampigia wewe unaona ugumu gani kutoa hiyo namba ili na wengine watumie matatizo yao kutatuliwa badala ya kuendeleza ule ule mfumo wa mlolongo wa kujenga mazingira ya upigaji
Ili.uweze kusearch taarifa lazima uwe na namba ya kuingiza kama simu, taarifa au jina
 
Naona hapa tuna TANESCO ya JF inaonyarisha kazi zake na lugha nzuri ya ukaribisho wa Huduma ... Na TANESCO ya kupiga ma dili ikao ofici zake zimejificha Mikoani....
Je si wanyonge tupeleke shida zetu kwa TANESCO ipi ?
 
Habari, Mimi ni mkazi wa Morogoro vijijini. Biashara yangu ni ya kukoboa zao(silitaji kwa sababu binafsi) ni mwaka wa tatu sasa nafuatilia kuwekewa umeme katika kiwanda hichi kidogo maana natumia diesel lakini gharama nnazopewa ni zaidi ya milioni kumi, ikiwemo na kununua transform.

Wataalam hili suala limekaaje maana nashindwa kuelewa. NINUNUE transformer kivipi wakati ni wajibu wa TANESCO kutupatia huduma kwa malipo husika ya huduma hi.. na ugumu wa kuwekewa umeme unakuja wapi jamani. MSAADA
Kuna wakati naona wananchi tunatoa lawama kwa tanesco kwa kuwaonea tu.Taarifa uliyotoa hapa haijakamilika unataka tu kuonesha tanesco ndio hawawajibiki.Nadhani ingekuwa vema ukaainisha taarifa sahihi kama ulishapeleka maombi rasmi ya umeme...barua uliyojibiwa walisema nini?na wewe uko umbali kiasi gani kutoka umeme/nguzo mkubwa au mdogo...Kijiji au kitongoji ulipo kina umeme au laa...Lakini pia tuangalie ukubwa wa tatizo,watu wenye mashine za dizeli nchi hii wako wangapi...kila mmoja akitaka ahudumiwe leo inakuwaje???naamini kwa awamu kadiri walivyofikiwa wengine nawe utahudumiwa na tanesco
 
Amekuambia utoe namba ya mkuu wa kitengo cha huduma kwa wateja unashindwa nini ,mbona unang'ang'ania tu atoe namba yake na details ,yeye anataka namba ya mkuu wa kitengo cha huduma atampigia wewe unaona ugumu gani kutoa hiyo namba ili na wengine watumie matatizo yao kutatuliwa badala ya kuendeleza ule ule mfumo wa mlolongo wa kujenga mazingira ya upigaji
Tanesco ni kijiwe cha wapigaji na weziwezi.Ukiwaambia wanafikiri wanaakili na watanzania ndo wajenga kumbe Ujinga na wizi wao uko wazi sana.Hata mtu asokuwa na akili anajua kabisa kwamba kuna panya anaoza mahali
 
Kuna wakati naona wananchi tunatoa lawama kwa tanesco kwa kuwaonea tu.Taarifa uliyotoa hapa haijakamilika unataka tu kuonesha tanesco ndio hawawajibiki.Nadhani ingekuwa vema ukaainisha taarifa sahihi kama ulishapeleka maombi rasmi ya umeme...barua uliyojibiwa walisema nini?na wewe uko umbali kiasi gani kutoka umeme/nguzo mkubwa au mdogo...Kijiji au kitongoji ulipo kina umeme au laa...Lakini pia tuangalie ukubwa wa tatizo,watu wenye mashine za dizeli nchi hii wako wangapi...kila mmoja akitaka ahudumiwe leo inakuwaje???naamini kwa awamu kadiri walivyofikiwa wengine nawe utahudumiwa na tanesco
Mkuu,kazi ya Tanesco ni kusambaza umeme.Kama kazi imewashinda basi waruhusu Private Players.Ambao watanunua Matransformer na kuyasimamia huku watu wakipata huduma bora.Tusikubali Tanesco wajifiche uzembe wao juu ya kivuli cha ugumu wa kazi.

Huu mjadala lazima uwe wazi na matatizo yao yawekwe wazi
 
Kama utakumbuka Maelekezo ya Serikali hapo awali hakuna mteja anayepaswa kununua kifaa chochote cha kumfungia umeme bali ni jukumu la TANESCO kusogeza miundombinu ya umeme kwa wateja wake, tafadhali tusaidie taarifa zifuatazo

Jina

Namba ya Simu

Wilaya

Na kiasi ulichodai kuambiwa ulipie ili tukupatie ufafanuzi kwa taarifa kamili

TANESCO HUDUMA KWA WATEJA

MAKAO MAKUU
Acheni upumbavu toeni ufafanuzi na utaratibu kwa muktadha wake.
 
Hawa TANESCO WA JF hua wanajitahidi kurespond mapema malalamiko mbalimbali lakini shida kubwa kwenye taasisi hii naiona changamoto ngazi za wilaya wanapenda rushwa hadi wanapitiliza wengine wilayani huko mwanaume lazima pesa ikutoke, wanawake wanaombwa hadi ngono kuwekewa umeme, wateja huko vijijini wanateseka mno na kwakua pia makao makuu hawana direct monitoring ya watu wao huko chini,
 
Hicho kichwa Cha habari nimecheka kinoma, hiv mkuu unajua bei ya transformer? Yan hao wahuni kama hawatak kukuletea umeme wakwambie tu
Ni kawaida kwa watu wa shughuli za viwanda kununulishwa transfoma mleta mada pole kwa maumivu
 
Kama utakumbuka Maelekezo ya Serikali hapo awali hakuna mteja anayepaswa kununua kifaa chochote cha kumfungia umeme bali ni jukumu la TANESCO kusogeza miundombinu ya umeme kwa wateja wake, tafadhali tusaidie taarifa zifuatazo

Jina

Namba ya Simu

Wilaya

Na kiasi ulichodai kuambiwa ulipie ili tukupatie ufafanuzi kwa taarifa kamili

TANESCO HUDUMA KWA WATEJA

MAKAO MAKUU
Mimi niko morogoro mjini maeneo ya kola B .
Kumekuwa na mfulululizo wa kukatika umeme mara kwa mara bila taarifa na hivi juzi tulikaa masaa 30 bila ya umeme.

wakati huo line ya 2 iliyopo ng'ambo ya barabara ya old dar es salaam road wana umeme na biashara zinaendeleaa

Tumechoshwa na hii kadhia kiasi kwamba nshalalamika sana kwenye kurasa zenu za #instagram #faceboook na kupiga simu ofisi zenu na kutokupatiwa jibu mfanano na dhahama hii..

TUMEWACHOKAA TANESCO

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Ni kawaida kwa watu wa shughuli za viwanda, mashine kununulishwa transfoma
Ndugu mteja,
Tunaomba kupata taarifa zaidi kuhusu taarifa kwa ajili ya ufuatiliaji. Pia tunaomba kupata mawasiliano yako kwa hatua zaidi
 
Naona hapa tuna TANESCO ya JF inaonyarisha kazi zake na lugha nzuri ya ukaribisho wa Huduma ... Na TANESCO ya kupiga ma dili ikao ofici zake zimejificha Mikoani....
Je si wanyonge tupeleke shida zetu kwa TANESCO ipi ?
 
Back
Top Bottom