Chengo Wa Anziwani
Member
- Nov 18, 2019
- 44
- 46
Mi nadhani utakuwa na load kubwa, nikiwa na maana unahitaji umeme mwingi na hicho ni kitu Cha kawaida kwa kwa wateja wenye uhitaji wa umeme mwingi ( high power demand) mfano viwandani, apartment s, Malls etc Mara nyingi hawa hufunga transformer zao kulingana na mahitaji yao. Cha kufanya hapo tafuta mkandarasi wa umeme anayetambulika na tanesco aje afanye tathimini ya ukubwa na specification ya transformer inayotakiwa kwa mahitaji yako na vifaa vingine (auxiliaries) vinavyoambatana na hiyo transformer itakayowekwa pamoja na kuifunga mahala pake. Baada ya hapo utaomba kuungwanishwa umeme na tanesco kupitia msongo wa juu kidogo wa usambazaji (11kV secondary distribution line)
NB: Kiufundi na kiuchumi wa usambazaji wa umeme, kwa mteja/ mtumiaji mwenye uhitaji mkubwa wa umeme itakuwa ni hasara kwa tanesco ( au Kampuni nyingine ya kusambaza umeme) kuwajibika kumfungia mteja transformer yake peke yake. Kwa hiyo mteja atawajibikia kufunga transformer yake kupitia mkaandarasi anayetambulika na tanesco.
NB: Kiufundi na kiuchumi wa usambazaji wa umeme, kwa mteja/ mtumiaji mwenye uhitaji mkubwa wa umeme itakuwa ni hasara kwa tanesco ( au Kampuni nyingine ya kusambaza umeme) kuwajibika kumfungia mteja transformer yake peke yake. Kwa hiyo mteja atawajibikia kufunga transformer yake kupitia mkaandarasi anayetambulika na tanesco.