TANESCO Walalamikia Mvua kubwa, wasema ni chanzo cha mgao

5 Nyingi

JF-Expert Member
Nov 15, 2023
247
594
Shirika la Umeme nchini (TANESCO), limesema hali ya upatikanaji wa Umeme katika baadhi ya maeneo nchini, imekuwa duni kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali, iliyosababisha miundombinu ya umeme, zikiwemo nguzo na transfoma kuanguka.

Kupitia taarifa iliyotolewa na Shirika hilo imebainisha kuwa wataalamu wake katika maeneo mbalimbali nchini, wamekuwa wakifanya juhudi za kufanya marekebisho katika miundombinu iliyopata hitilafu na hata kuharibika kutokana na mvua hizo.
20240121_233302.jpg
 
Duh! Hili shirika lipi bora mvua au jua?

Kweli nimeamini kulia na kucheka yote kelele.

Haitotokea siku mkoswe sababu Tanesco
 

Attachments

  • IMG_2939.jpg
    IMG_2939.jpg
    7 KB · Views: 2
  • IMG_8305.jpg
    IMG_8305.jpg
    31.3 KB · Views: 2
Wazee wa Kati wamejitahid kwa kila hali wapate sababu ya kuikodisha ile mitambo ya IPTL kwa kutengeneza migao feki wanakosa. Magufuli alishamalizana nao naona wanataka kuturudisha mlemle. Hii nchi ni zaid ya uijuavyo.
 
Shirika la Umeme nchini (TANESCO), limesema hali ya upatikanaji wa Umeme katika baadhi ya maeneo nchini, imekuwa duni kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali, iliyosababisha miundombinu ya umeme, zikiwemo nguzo na transfoma kuanguka.

Kupitia taarifa iliyotolewa na Shirika hilo imebainisha kuwa wataalamu wake katika maeneo mbalimbali nchini, wamekuwa wakifanya juhudi za kufanya marekebisho katika miundombinu iliyopata hitilafu na hata kuharibika kutokana na mvua hizo.
View attachment 2879097
Naona wamesahau kuhusu tope linaloganda kwenye vikombe na waya za umeme, hili ni kwa Tanzania tu.
 
Shirika la Umeme nchini (TANESCO), limesema hali ya upatikanaji wa Umeme katika baadhi ya maeneo nchini, imekuwa duni kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali, iliyosababisha miundombinu ya umeme, zikiwemo nguzo na transfoma kuanguka.

Kupitia taarifa iliyotolewa na Shirika hilo imebainisha kuwa wataalamu wake katika maeneo mbalimbali nchini, wamekuwa wakifanya juhudi za kufanya marekebisho katika miundombinu iliyopata hitilafu na hata kuharibika kutokana na mvua hizo.
View attachment 2879097
Mbona sijaona walioolalamika bali naona wanatupa taarifa wateja wao?

Hivi ni lazima mseme uongo?
 
Back
Top Bottom