5 Nyingi
JF-Expert Member
- Nov 15, 2023
- 247
- 594
Shirika la Umeme nchini (TANESCO), limesema hali ya upatikanaji wa Umeme katika baadhi ya maeneo nchini, imekuwa duni kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali, iliyosababisha miundombinu ya umeme, zikiwemo nguzo na transfoma kuanguka.
Kupitia taarifa iliyotolewa na Shirika hilo imebainisha kuwa wataalamu wake katika maeneo mbalimbali nchini, wamekuwa wakifanya juhudi za kufanya marekebisho katika miundombinu iliyopata hitilafu na hata kuharibika kutokana na mvua hizo.
Kupitia taarifa iliyotolewa na Shirika hilo imebainisha kuwa wataalamu wake katika maeneo mbalimbali nchini, wamekuwa wakifanya juhudi za kufanya marekebisho katika miundombinu iliyopata hitilafu na hata kuharibika kutokana na mvua hizo.