Mvua kubwa yanyesha Bukoba na kusababisha hasara kubwa

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Dec 11, 2012
5,897
10,358
Mvua hiyo kubwa imenyesha leo katika Manispaa ya Bukoba na kuwaachia hasara kubwa wananchi wengi hasa walio karibu na mto Kanoni.

Nyumba nyingi zimezingirwa na maji, huku maeneo mengine nyumba zikiwa zimeezuliwa paa kutokana na upepo mkali.

Moja ya nyumba ya ibada iliyopata madhara hayo ni Kanisa Katoliki Parokia ya Rwamishenye ambayo paa limeezuliwa huku waumini wakiwa wanasali Rozari Takatifu

Pia baadhi ya mazao yameharibiwa vibaya na mvua.

TANESCO mkoa wa Kagera imetoa hadhari kubwa kwa wananchi kuwa makini na miundombinu ya umeme na kuwataka kutoa taarifa endapo wataona nguzo ya umeme iliyoanguka.



Mvua1.jpg
Mvua2.jpg
 
Mvua hiyo kubwa imenyesha leo katika Manispaa ya Bukoba na kuwaachia hasara kubwa wananchi wengi hasa walio karibu na mto Kanoni.

Nyumba nyingi zimezingirwa na maji, huku maeneo mengine nyumba zikiwa zimeezuliwa paa kutokana na upepo mkali.

Pia baadhi ya mazao yameharibiwa vibaya na mvua.

TANESCO mkoa wa Kagera imetoa hadhari kubwa kwa wananchi kuwa makini na miundombinu ya umeme na kuwataka kutoa taarifa endapo wataona nguzo ya umeme iliyoanguka.

View attachment 2785260View attachment 2785261

Mola awafanyie wepesi huko Kwa maana serikali ya CCM Huwa haileti maafa Bali hukusanya kodi tu.
 
Mvua hiyo kubwa imenyesha leo katika Manispaa ya Bukoba na kuwaachia hasara kubwa wananchi wengi hasa walio karibu na mto Kanoni.

Nyumba nyingi zimezingirwa na maji, huku maeneo mengine nyumba zikiwa zimeezuliwa paa kutokana na upepo mkali.

Pia baadhi ya mazao yameharibiwa vibaya na mvua.

TANESCO mkoa wa Kagera imetoa hadhari kubwa kwa wananchi kuwa makini na miundombinu ya umeme na kuwataka kutoa taarifa endapo wataona nguzo ya umeme iliyoanguka.

View attachment 2785260View attachment 2785261
Sidhani kama wanangu wa kyabitembe , kanoni pembezoni na sheli ya Ali wamepona .

All in all wahaya ni matajiri sana watanunua vitu vipya leo leo .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Mvua hiyo kubwa imenyesha leo katika Manispaa ya Bukoba na kuwaachia hasara kubwa wananchi wengi hasa walio karibu na mto Kanoni.

Nyumba nyingi zimezingirwa na maji, huku maeneo mengine nyumba zikiwa zimeezuliwa paa kutokana na upepo mkali.

Pia baadhi ya mazao yameharibiwa vibaya na mvua.

TANESCO mkoa wa Kagera imetoa hadhari kubwa kwa wananchi kuwa makini na miundombinu ya umeme na kuwataka kutoa taarifa endapo wataona nguzo ya umeme iliyoanguka.

View attachment 2785260View attachment 2785261
Poleni wana Bukoba!
 
Ila jamani upauaji gani huo? Hizo mbao kweli zinaweza kuvumilia kimbunga? Na hii sio mara moja kuezuliwa kwanini hawajifunzi tuu..
Any way poleni sana
 
Ila jamani upauaji gani huo? Hizo mbao kweli zinaweza kuvumilia kimbunga? Na hii sio mara moja kuezuliwa kwanini hawajifunzi tuu..
Any way poleni sana
Ndiyo maisha tuliyochagua. Tunajenga bila kuweka miundo mbinu ya mifereji na tunalipua kuanzia ujenzi mpaka upauaji.... Tunalifuata balaa badala ya balaa kutufuata.
 
Ila jamani upauaji gani huo? Hizo mbao kweli zinaweza kuvumilia kimbunga? Na hii sio mara moja kuezuliwa kwanini hawajifunzi tuu..
Any way poleni sana
Halafu ndilo kanisa pekee lenye mapadre wataalamu wa fani zote, hivi walishindwa kumshirikisha yule Padre Mhandisi Major Daktari Msanifu


1697636303063.png
1697636303495.png
 
Leo nimepata taarifa kutoka kijiji cha lwamishenyi yakuwa mvua kubwa zilizonyesha leo zimepelekea kanisa kubwa la katoliki na makazi ya wananchi wengi kuenguliwa na upepo mkali sanaaaa

Wananchi zaidi ya 50 hawana makazi je hii sio habari?

Ila angekuwepo mwendazake mngeandika ili apate la kusema kama kawaida yake

Ukimwi nyie,mto ngono nyie,tetemeko nyie,na leo upepo nyie?
 
Leo nimepata taarifa kutoka kijiji cha lwamishenyi yakuwa mvua kubwa zilizonyesha leo zimepelekea kanisa kubwa la katoliki na makazi ya wananchi wengi kuenguliwa na upepo mkali sanaaaa

Wananchi zaidi ya 50 hawana makazi je hii sio habari?

Ila angekuwepo mwendazake mngeandika ili apate la kusema kama kawaida yake

Ukimwi nyie,mto ngono nyie,tetemeko nyie,na leo upepo nyie?
Usiwalaumu!Hakuna binadamu anayependa matatizo mkuu!
 
Kwani mvua si ilishatabiriwa na majanga ni kawaida sio jambo la kushangaza...Tuombe kheri maana jua la hapa Dar tu itabidi serikali itoe tamko.
 
TMA tuwape maua yao kwa utabiri wao wa mvua kubwa kunyesha mwezi october na kuonya mapema wananchi wachukue tahadhari. Ila kuna mikoa october inapita bila mvua kunyesha imebaki wiki moja mvua haijanyesha, hata hivyo wananchi waendelee kuchukua tahadhari msimu wa mvua za vuli unaanza
 
Back
Top Bottom