TANESCO kuna shida gani kwenye mfumo wa LUKU?

Katkit

JF-Expert Member
Mar 12, 2023
1,891
4,588
Habari wanajamvi,

Leo tangu saa moja asubuhi najaribu kununua umeme kwa simu inashindikana, baada ya kujaribu mara kadhaa bila mafanikio kwa kutumia Vodacom, nikasema labda Voda wanazingua network.

Nikaopt kununua kwa Tigo, still imeshindikana. Nimepiga simu huduma kwa wateja Tigo wamenambia sio shida yao, means ni TANESCO na system yao ya LUKU. Imagine tangu saa moja mpaka sasa ishu bado haijawa solved.

HII NCHI NI TAKATAKA WALLAH!
 
Walitoa tangazo
 

Attachments

  • IMG-20231214-WA0003.jpg
    IMG-20231214-WA0003.jpg
    82.4 KB · Views: 11
Back
Top Bottom