TANESCO kuachana na Symbion na Aggreko?

Security inayoongelewa siyo hiyo unayotaka kurahisisha! Kwa ufupi tu wiki inatosha kuyumbisha utawala au hata kuondoa watawala kwa kutumia tanesco. Mwenye tanesco akiamua anaweza kuleta ya Misri ndani ya muda mdogo sana!

tuache kudanganyana kama bado tuko enzi za miaka ya 60, the world has moved on, regulations and information technology have advanced, hakuna hicho kitu mnachojaribu kuaminisha watu

Na kama tukija kwenye suala la watawala, labda kama mnataka kutuaminisha kwamba chama tawala kiko madarakani kwasbabu ya tanesco, which may not be the case

national security has so many ways of managing any of the changes in dynamics of the country na dnio maana kina putin waliweza kuwashikisha adabu akina abramovich na khodorkovsky

kikubwa zaidi ni kuruhusu serikali za nje kutuingilia kwenye mipango yetu in the name of development aids or development partnership, which can never be the case tutakapoamua haya mashirika yaendeshwe na right people in the right context
 
Security inayoongelewa siyo hiyo unayotaka kurahisisha! Kwa ufupi tu wiki inatosha kuyumbisha utawala au hata kuondoa watawala kwa kutumia tanesco. Mwenye tanesco akiamua anaweza kuleta ya Misri ndani ya muda mdogo sana!

Usitake kuchekesha watu, elezea "security" unayoiongelea wewe. Kama utaweza.

Ya nini kuandikia mate na wino upo.
 
Biashara kubwa ya Bakhresa ni ipi huyu kanjanja mkwepa kodi maarufu? Biashara ya kutembeza Ice cream kwa baiskeli na kuuza unga? Boti zake zinasifika kubeba magendo kati ya dar na zanzibar na makampuni yake yanaogopa kutia mguu soko la hisa kukwepa uwazi? Nani hamjui uhuni wake?

Tatizo la Tanesco haliko ndani ya Tanesco, liko Ikulu na Bungeni, fanyeni mabadiliko huko. Tanesco idumu milele kuwa shirika la umma 100% kwa usalama wa taifa lako.
Mashirika ya umma yalianza kufa toka Nyerere yuko hai, una maana tatizo liko huko toka wakati huo, au sio?
 
Nimewahi kujiuliza,

Kama tukiamua kuvunja mikataba alafu tukaamua kukubali ujinga kwa muda lakini wenye gharama nafuu kwa kununua umeme kutoka nchi za jirani ili ibaki mikoa michache kutumia gridi ya taifa.

Nadhani kulaumiana sasa hakutabadili kitu zaidi ya mawazo mapya.

Kabla ya kuivunja Mikataba tuivunje CCM kwanza na kufagia uozo wote na tuwape wengine waongeze na ndo tuwape jukumu la kusitisha Mikataba yote na kuipitia upya hasa kwenye sekata ya Nishati na Madini hata ikibidi kupata umeme kwa siku moja kwa juma haitakuwa na shida ilimradi tuna uhakika kwamba baada ya muda mfupi hatua stahiki zitachukuliwa kuondoa Tatizo hili.

Upuuzi unaofanyika TANESCO unabaraka za watawala siyo TANESCO tu hata mashirika mengi yanye Hisa za Serikali ndo hivyohivyo.Hakuna uzalendo kunatakiwa mabadiliko makubwa katika sehemu zote za maamuzi.
 
152 x 365 = 55,480,000,000.00 kwa rate ya dola 1 = 1600 then Symbiom pekee wanachukua $ 34,675,000.00 kwa mwaka, hizi ni fedha za walipa kodi wa Tanzania, no wonder maisha yanazidi kuwa magumu...Jambo moja tu nililo na uhakika nalo Symbion watakuwa hapa kwa muda mrefu sana! huu ni sehemu ya mkakati wa makusudi (refer confession of an economic hit man)...
 
Tutafika


Mashirika ya umma yalianza kufa toka Nyerere yuko hai, una maana tatizo liko huko toka wakati huo, au sio?
 
Last edited by a moderator:
Tutafika


Mashirika ya umma yalianza kufa toka Nyerere yuko hai, una maana tatizo liko huko toka wakati huo, au sio?

Black widow, wewe na ukoo wako wote wa wala ubwabwa na kupaka hina hakuna wa kumfikia nyerere hata therusi.
 
Last edited by a moderator:
Black widow, wewe na ukoo wako wote wa wala ubwabwa na kupaka hina hakuna wa kumfikia nyerere hata therusi.

Wala si uongo ni kweli kabisa, hatumfikii wala hatuto mfikia, Mungu atuepushe kumfikia.
 
Karibu ubwabwa kuna hitma hapa mtaa wa Livingston, usisahau kuwajulisha na wale Masheikh wetu ubwabwa au mashehena.

Ahsante kwa mualiko, umechelewa kidogo kunialika nimealikwa kwingine Biriani ya papa. Umeshawahi kula biriani ya papa wewe?
 
Unakuwa hujafanya kitu. Ukisha iingiza Serikali kuwa na share nyingi, umeshaharibu kila kitu. Kwani kudhibiti na kutengeneza sera za usimamiaji ni lazima Serikali iwe na shares? shares wanaweza kuwa nazo lakini chache tu na sikubaliani na wao kuwa major shareholders, inakuwa hujafanya kitu na hakuna mwekezaji ataekubali. Hao hao walioharibu leo mimi kama mwekezaji nikatumbukize fedha zangu wakazi-control wao? haiji.

Kumbe unauwezo wa kutoa hoja kama mtu mwenye uelewa mzuri'kumbe nimeamin huwa unajivika ujinga kwa makusudi ilihali madhaifu unayajua sasa umesomeka mdada
 
Kumbe unauwezo wa kutoa hoja kama mtu mwenye uelewa mzuri'kumbe nimeamin huwa unajivika ujinga kwa makusudi ilihali madhaifu unayajua sasa umesomeka mdada

Serikali ya Nyerere ndio ilikuwa na hayo madhaifu ya kuga viwanda na mashirika ya umma yaliofilisi nchi. Kuanzia ujio wa Mwinyi tukaona mabadiliko akaleta sera ya kuuza mashirika ya umma yasiyo na faida, hali kadhalika Mkapa akaendeleza na Kikwete anafanya hivyo na amekuja na mpango mpya ambao ni bora zaidi PPP na BOOT kwa yale ambayo inabidi yawe hivyo.

Tanesco itafikia siku tutakubali tu, kuwa hilo ni zigo lisilobebeka ila tu mahesabu yanatudanganya, kuwa aaah, tumewekeza mabilioni tuyaachie tu hivi hivi? kitu tunachoshindwa kuelewa ni kuwa duniani sasa hivi hata mashirika makubwa wanaachiwa waekezaji kwa kuwekewa masharti (policy) yenye manufaa kwa wote.
 
Tanesco ni mtambo wa kuneemesha wakubwa hivyo matatizo kuisha ni ndoto.
Wakubwa ndo kina nani? As a Great Thinker, unaamini unajitendea haki?

Serikali ya Nyerere ndio ilikuwa na hayo madhaifu ya kuga viwanda na mashirika ya umma yaliofilisi nchi. Kuanzia ujio wa Mwinyi tukaona mabadiliko akaleta sera ya kuuza mashirika ya umma yasiyo na faida, hali kadhalika Mkapa akaendeleza na Kikwete anafanya hivyo na amekuja na mpango mpya ambao ni bora zaidi PPP na BOOT kwa yale ambayo inabidi yawe hivyo
Na ATCL ikamaliziwa na nani tena?
 
Kabla ya kuwa na wasiwasi kama tunao mbadala wa makampuni hayo, tujiulize kwanza hiyo mikataba inaisha lini?
Sijajua huu wenyewe ulikuwa renewed lini - https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...anian-contract-to-supply-emergency-power.html labda nikuulize wewe mkuu wangu!

By the way, zile za Dowans tumeshazilipa?
Dah, umenikumbusha hii maneno pia From Dowans to Symbion: Why the crusaders misled the nation

Tunahitaji ushauri wenu wanasheria wetu (wazalendo). Kama tunaliingiza taifa kwenye hasara kwa kushinikiza yasiyowezekana tujue mapema. Lakini, mtupe mbadala wa kutatua tatizo!
 
Wakubwa ni Mawaziri husika pamoja na Makatibu wakuu, kwani ndio wanoongoza kufunga mikataba yenye hila, ili wapate teni percent. Ndiyo hayo mabillioni tunasikia Zitto anafuatilia.
Wakubwa ndo kina nani? As a Great Thinker, unaamini unajitendea haki?


Na ATCL ikamaliziwa na nani tena?
 
Sijajua huu wenyewe ulikuwa renewed lini - https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...anian-contract-to-supply-emergency-power.html labda nikuulize wewe mkuu wangu!

Maana mkataba ulikuwa umalizike tokea mwaka jana.

Pia kwenye taarifa husika inadaiwa Aggreko wangewauzia umeme for a "small fee".

Ina maana baada ya mkataba kuongezwa bei ilipanda maradufu?


Tuwalipe kwanza hao.

Tunahitaji ushauri wenu wanasheria wetu (wazalendo). Kama tunaliingiza taifa kwenye hasara kwa kushinikiza yasiyowezekana tujue mapema. Lakini, mtupe mbadala wa kutatua tatizo!

Lawyers cannot save a nation. Only its citizens can.
 
Nimewahi kujiuliza,

Kama tukiamua kuvunja mikataba alafu tukaamua kukubali ujinga kwa muda lakini wenye gharama nafuu kwa kununua umeme kutoka nchi za jirani ili ibaki mikoa michache kutumia gridi ya taifa.

Nadhani kulaumiana sasa hakutabadili kitu zaidi ya mawazo mapya.
Alafu limtu linaibuka huko kuponda Stigle gorge! Hivi wanapata wapi jeuri hii? Alafu tunashangilia tu kwavile ulikuwa humpendi JPM? Kwamba ndio uhuru wa maoni? Shwaini ...
 
Back
Top Bottom