Invisible
Robot
- Feb 11, 2006
- 9,075
- 7,878
- Thread starter
- #21
Mkuu,Shirika la tanesco liuzwe kwa shirika la umeme la Zambia. Watanzania tutaufaidi umeme kwa bei poa
Nadhani humaanishi.
Zambia? Seriously? Unasikia tu au umefuatilia? Satta ana wakati mgumu sana. Labda kama hufuatilii kwa karibu!
Kwa muda wako, soma hii kitu na kisha urejee mezani unambie kama utarudia kutoa reference ya Zambia - Energy crisis threaten to paralyse Zambia