jitombashisho
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 667
- 2,242
Hivi kweli hata huyo Samia karuhusu huo ujinga wa Tanesco kukatakata umeme hovyo namna hii?
Haya, wamekata tena na hakukuwa na taarifa yeyote masikini wa Mungu!
Kumbuka tokea juzi walikata asubuhi na wakarejesha jana jioni ajabu wamekata tena muda huu.
Pumbavu kabisa!
Haya, wamekata tena na hakukuwa na taarifa yeyote masikini wa Mungu!
Kumbuka tokea juzi walikata asubuhi na wakarejesha jana jioni ajabu wamekata tena muda huu.
Pumbavu kabisa!