Ndokeji
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 698
- 475
Tanesco katika maeneo Mbalimbali Hasa Jiji la Mwanza imeshangaza wananchi zaidi 2000 katika eneo la Nyakato kushindwa kuunganishia watu umeme, Hali hiyo inafanya baadhi ya watu kupitia njia za panya kutoa rushwa ili kufungiwa umeme, wananchi wamelalamika bila msaada
Tunatumaini
1)Uteuzi Mpya utaweza kutatua changamoto ya umeme kwa watu kutounganishiwa
2)Mkurugenzi wa Nyakato kuondolewa kwa kuruhusu vitu vya ajabu
3)Surveyor kufanya kazi yao siyo mpaka rushwa
Tunatumaini
1)Uteuzi Mpya utaweza kutatua changamoto ya umeme kwa watu kutounganishiwa
2)Mkurugenzi wa Nyakato kuondolewa kwa kuruhusu vitu vya ajabu
3)Surveyor kufanya kazi yao siyo mpaka rushwa