Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 2,876
- 8,697
Umeme wa Rea ni wa kisiasa. Ni wa kuwashia TV na kuchajia simu hauna nguvu ya kuwasha mashine. Umeme wenye nguvu ni three phase yenye nyaya 3 au zaidi na pawe na transformer ya 33kv na zaidi.sikuamini hata kidogo, upo Mji gani? Nguzo zimejaa na hata mita, umeme mpaka vijijini wewe unataka nguzo za nini tena? unganisha umeme wa REA funga kinu sagisha uwele