TANESCO haina tena nguzo za kusambaza umeme majumbani

Katika Hali isiyo ya kawaida ,Kwa mara ya kwanza tangu awamu ya tano,imetokea Hali isiyo ya kawaida ya kukosekana Kwa nguzo za kuunganisha wateja umeme Tanzania. Hakuna wilaya hata moja nchini insyotoa huduma ya kuwapatia wateja nguzo ili wananchi waweze kupata huduma ya umeme. Kila ukiuliza unaambiwa tunaweka nguzo keenye bajeti. Ni bajeti ipi hiyo ambayo ilisomwa July na Sasa ni August.
Si waziri alisema wana nguzo nyingi sana??
 
Kumbe mpo ONLINE! Hongera sana. Kuna Jamaa aliuliza hapa eti kwanini TANESCO wanakua na Standby generators wakati wao ndio wazalisha umeme?
Backup ni muhimu sana kwa taasisi yeyote hata baadhi ya mitambo inawashwa na mitambo mingine
 
Katika Hali isiyo ya kawaida ,Kwa mara ya kwanza tangu awamu ya tano,imetokea Hali isiyo ya kawaida ya kukosekana Kwa nguzo za kuunganisha wateja umeme Tanzania. Hakuna wilaya hata moja nchini insyotoa huduma ya kuwapatia wateja nguzo ili wananchi waweze kupata huduma ya umeme. Kila ukiuliza unaambiwa tunaweka nguzo keenye bajeti. Ni bajeti ipi hiyo ambayo ilisomwa July na Sasa ni August.
Hebu tuache uongo please

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Mbona wakati wa JPM watunwalioqta umeme kwa 27000 vijijini lakini sasahivi hata ambao tulilipia 27000 mwaka jana sept hadi sasa mwaka unaisha hakuna umeme. Je sasahivi Tanesco wameahindwa kununua mita?
Je kunanini kilichofanyika wakati wa Magufuri kuwezesha REA kufabyavitu vizuri na Tanesco kuliko sasa?
Piga namba zifuatazo wakueleze Hali ilivyo mbaya kuhusu nguzo za tanesco.
1. 0784-422-884
2.0784-390-625
3. 0682-304-430
Ukipata majibu nijulishe walichokuambia. Tatizo tanesco mnaficha matatizo. Tangu bei ya kuunganishiwa umeme iwe Tsh 27,000 hamjawahi kuhufumia mteja hata mmoja kumpatia nguzo Kwa bei hiyo.
JPM tutamkumbuka sana'
 
Inaonekana hata hujui unachokiandika!!eti unangisha umeme wa REA?, hao wana umeme?!!totauti na TANESCO, au hujui hata maana ya REA, ndio wale unawasikia eti umeme wa REA, sio mzuri!!!kama yupo mjini huo umeme wa mradi ataupata wapi?wakati kote huku kero ni nguzo na mita?unapoona huko vijijini mnapata umeme wa mradi mnazania na watu wa mijini kuvutiwa umeme ni kazi rahisi kama huko?!!
Hueleweki au unachochea kwani hujui bado mleta Mada alivyopotosha
mimi nipo Mjini na nina mita 2 za Tanesco ambako hakuna shida yoyote ya nguzo. Mita moja siitumii na nimekataliwa haihamishwi.
Kijiji fulani nimeenda muombea mamamkwe na nimeshamfungia bila ya nguzo na nimelipa 27,000/ tu
Tanesco tumewaita kwenye uzi mbona hamuwapi namba zenu za malalamiko
Mleta Mada kadanganya kwa kutoa namba za Maafisa wa umeme huko Mkoa wa Kilimajaro na sio namba yake
Hizi ni namba za menager wa Kilimanjaro, Siha na Hai tunaomba za mteja au zako mwenyewe tufatilie

peno hasegawa

acha majungu maana eneo ulilotoa namba za walioathirika ni watu wa majungua sana Tanesco wameomba namba kwanini usiwape ninyi mliokosa nguzo?
mnachafua JF
 
Nguzo zipo ila ni black market kuzipata kiharari ndg yangu ni ndoto utazunguka ofisini weee
 
Katika Hali isiyo ya kawaida ,Kwa mara ya kwanza tangu awamu ya tano,imetokea Hali isiyo ya kawaida ya kukosekana Kwa nguzo za kuunganisha wateja umeme Tanzania. Hakuna wilaya hata moja nchini insyotoa huduma ya kuwapatia wateja nguzo ili wananchi waweze kupata huduma ya umeme. Kila ukiuliza unaambiwa tunaweka nguzo keenye bajeti. Ni bajeti ipi hiyo ambayo ilisomwa July na Sasa ni August.

Bajet ya Julay 2022
 
Mimi kwangu nahitaji nguzo ili niunga nishiwe umeme naishi yombo dovya temeke huu mwezi wa pili hamna jipya naambiwa nisubir wakati wazir kasema nguzo zipo tena kuzidi mahitaji yetu
Zamani ukihitaji umeme kama nyumba yako panazidi umbali wa mita 30 na patahitajika nguzo unalipia sasahv waziri wenu kasema mlipie tsh 27,000 na hakuna kuuziwa nguzo unategemea utapata nguzo?ili nguzo iwekwe sehemu ni lazima kuwe na mradi wa ujenzi mpya au ujazilizi au matengenezo/ukarabati lakini kwa hali ya sasa wakuwekee nguzo kwa minajili ipi?
 
Hueleweki au unachochea kwani hujui bado mleta Mada alivyopotosha
mimi nipo Mjini na nina mita 2 za Tanesco ambako hakuna shida yoyote ya nguzo. Mita moja siitumii na nimekataliwa haihamishwi.
Kijiji fulani nimeenda muombea mamamkwe na nimeshamfungia bila ya nguzo na nimelipa 27,000/ tu
Tanesco tumewaita kwenye uzi mbona hamuwapi namba zenu za malalamiko
Mleta Mada kadanganya kwa kutoa namba za Maafisa wa umeme huko Mkoa wa Kilimajaro na sio namba yake

peno hasegawa

acha majungu maana eneo ulilotoa namba za walioathirika ni watu wa majungua sana Tanesco wameomba namba kwanini usiwape ninyi mliokosa nguzo?
mnachafua JF
Hata hueleweki unachokipinga ni nini?!!kwani hiyo 27, 000 ya kuunganishiwa umeme vijijini mbona toka miradi ya REA, imeanza ndio gharama yake!!kwani nini maana ya pm?!!kama mtu ana shida si anawatumia tu hizo details wanazotaka huko pm?!kwa hiyo wewe ulifikiria kuhamisha mita ya tanesco ni rahisi kama kufukua mtalo?!!
Watu wanacholalamika hasa ni tatizo la nguzo, na hiyo bei ya 27, 000 kwa sehemu ambako hakuna mradi wa REA/Wameshaukabidhi kwa tanesco, kuwa hicho ni kiini macho tu, mbona watu wakienda tanesco wanakataliwa kwa hiyo bei?!!
 
Back
Top Bottom