Tanesco ruhusuni kampuni binafsi kugawa umeme nyie gridi yenu mubaki kugawa kwa maofisi ya umma, jeshini na hospital

Jul 25, 2020
65
125
Zamani kulikua na baadhi ya maeneo Mfanyabiashara anafunga mitambo Ya Kuzalisha Umeme kisha anakua na Nguzo zake Simple kuna mmoja niliona anapitisha Nyaya kwenye Bomba kwa kufukia Chini na kusambaza nyaya anakua anauzia watu umeme unalipia kwa siku 3000 kwa ofisi za kawaida wanaotumia Vitu Vyepesi na Kama ni kazi za Kula Umeme sana Kundi la Kuchomelea unalipia 7000 kwa siku Kuanzia Asubuhi saa 12 mpaka saa 4 Usiku

Bora Hii Huduma Unakua na Uhakika na Umeme kwenye eneo la uzalishaji Yaani Hakuna Kukatika, na Sikuwahi kusikia Hawa Bwana wakisema mara kumetokea Mtambo umeharibika kwa sababu zikizimwa tu Walikua wanaanza kuzifanyia Services Muda huo Huo wa Usiku kuhakikisha kesho wateja wanapata Huduma Bora ya Umeme Tofauti na TANESCO ni mwaka saaa Umeme Hamna ni wa Mgao ila Bado Wanatuambia Wanazima ili watengeneze Mitambo.

Shida Serikali ikaanza kuwaandama hawa jamaa kwa sababu walikua wanapiga Kazi sana Hawa Jamaa walianza kuundiwa Vijisababu Kemkem kwa sababu waliiba kabisa Wateja (Soko) La Tanesco.


Hii Katika Katika Ya Umeme Hapa Nchini kwa sasa ni Kero mfano maeneo ya Mjini kati ni Bora nilipe kwa jamaa 3000 au 7000 Kwa siku ila nakua nimepiga kazi ya Saloon Kwangu kutwa nzima kuliko saivi ofisini Genereta kuliwasha lazima Uweke Mafuta Kutwa nzima si chini ya 25000.
 
Hawawezi kukubali hilo litokee

Tamaa ya pesa ndio sababu inafanya hilo jambo lisiwezekane.

Makampuni kibao naskia yalikuja kuomba kibali lakini serikali ikawakatalia.

Wenye mamlaka ya kukataa ndio hao ambao hawaathiriki umeme ukikatika, wao muda wote umeme wanaupata hawajali kuhusu wananchi.
 
Wazo zuri ila ni sisi wenyewe wa kujilaumu, tunakuja humu kulalama, hakuna push back,ndio maana they don't take a notice kuwa poor of the poorest wanaoumia,kwangu ukikosekana kesho mapema tu natinga kwa tanesco manager, hawezi kwenda kwake au kutoka ofisini bila ya kunipa jibu la uhakika, ilitakiwa tanesco wabakiwe na mamlaka ya kusambaza umeme,uzalishaji wapewe watu binafsi, mashirika,taasisi na municipalities, hawa umeme wao wa ziada wauziwe tanesco, mfano;Hanga monastery umeme wanauzalisha ule wa ziada wawauzie tanesco ili wausambaze pale Hanga kijijini, Mshindo, Mawa, Mtakanini, hadi Lumecha even Namabengo, kinyume cha hapa mtalalama sana humu JF
 
Hii nchi inaongozwa na viongozi wa ajabu sana. Haiwezekani nchi iwe na vyanzo kibao vya kuzalisha umeme! Tena vyanzo vyote ni vya uhakika! Halafu miaka nenda shida ya umeme iko pale pale.

Wenyewe wako busy na siasa zao tu za kusifiana na kutukuzana.
 
Hii nchi inaongozwa na viongozi wa ajabu sana. Haiwezekani nchi iwe na vyanzo kibao vya kuzalisha umeme! Tena vyanzo vyote ni vya uhakika! Halafu miaka nenda shida ya umeme iko pale pale.

Wenyewe wako busy na siasa zao tu za kusifiana na kutukuzana.
Tulia wewe tulambe asali sisi pambana na hali yako

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hii nchi inaongozwa na viongozi wa ajabu sana. Haiwezekani nchi iwe na vyanzo kibao vya kuzalisha umeme! Tena vyanzo vyote ni vya uhakika! Halafu miaka nenda shida ya umeme iko pale pale.

Wenyewe wako busy na siasa zao tu za kusifiana na kutukuzana.
Inatuumiza sisi wananchi wa Chini wao umeme kwao haukatwi hata iweje
 
Wazo zuri ila ni sisi wenyewe wa kujilaumu, tunakuja humu kulalama, hakuna push back,ndio maana they don't take a notice kuwa poor of the poorest wanaoumia,kwangu ukikosekana kesho mapema tu natinga kwa tanesco manager, hawezi kwenda kwake au kutoka ofisini bila ya kunipa jibu la uhakika, ilitakiwa tanesco wabakiwe na mamlaka ya kusambaza umeme,uzalishaji wapewe watu binafsi, mashirika,taasisi na municipalities, hawa umeme wao wa ziada wauziwe tanesco, mfano;Hanga monastery umeme wanauzalisha ule wa ziada wawauzie tanesco ili wausambaze pale Hanga kijijini, Mshindo, Mawa, Mtakanini, hadi Lumecha even Namabengo, kinyume cha hapa mtalalama sana humu JF
ASANTE itafika wakati Biashara ndogo Ndogo zetu zitakufa, Hatulalami Tunatamani Pengine atajitokeza Mwenye mtaji Awekeze Tukimbie Tanesco Haraka Sana. Nitahama Tanesco kwa spiidi kama ikipatikana kampuni nyingine
 
IFIKE WAKATI Vijana Tuandamane kwa manufaa yetu maana Vituo vya mafuta vinazidi kuongezeka ila wanadai mafuta Yamepanda Bei Nahisi wanatuibia sana kwa sababu wanaouza solar na mafuta wengi ni wanasiasa na Viongozi sawa na mabasi.
Hawawezi kukubali hilo litokee

Tamaa ya pesa ndio sababu inafanya hilo jambo lisiwezekane.

Makampuni kibao naskia yalikuja kuomba kibali lakini serikali ikawakatalia.

Wenye mamlaka ya kukataa ndio hao ambao hawaathiriki umeme ukikatika, wao muda wote umeme wanaupata hawajali kuhusu wananchi.
 
Zamani kulikua na baadhi ya maeneo Mfanyabiashara anafunga mitambo Ya Kuzalisha Umeme kisha anakua na Nguzo zake Simple kuna mmoja niliona anapitisha Nyaya kwenye Bomba kwa kufukia Chini na kusambaza nyaya anakua anauzia watu umeme unalipia kwa siku 3000 kwa ofisi za kawaida wanaotumia Vitu Vyepesi na Kama ni kazi za Kula Umeme sana Kundi la Kuchomelea unalipia 7000 kwa siku Kuanzia Asubuhi saa 12 mpaka saa 4 Usiku

Bora Hii Huduma Unakua na Uhakika na Umeme kwenye eneo la uzalishaji Yaani Hakuna Kukatika, na Sikuwahi kusikia Hawa Bwana wakisema mara kumetokea Mtambo umeharibika kwa sababu zikizimwa tu Walikua wanaanza kuzifanyia Services Muda huo Huo wa Usiku kuhakikisha kesho wateja wanapata Huduma Bora ya Umeme Tofauti na TANESCO ni mwaka saaa Umeme Hamna ni wa Mgao ila Bado Wanatuambia Wanazima ili watengeneze Mitambo.

Shida Serikali ikaanza kuwaandama hawa jamaa kwa sababu walikua wanapiga Kazi sana Hawa Jamaa walianza kuundiwa Vijisababu Kemkem kwa sababu waliiba kabisa Wateja (Soko) La Tanesco.


Hii Katika Katika Ya Umeme Hapa Nchini kwa sasa ni Kero mfano maeneo ya Mjini kati ni Bora nilipe kwa jamaa 3000 au 7000 Kwa siku ila nakua nimepiga kazi ya Saloon Kwangu kutwa nzima kuliko saivi ofisini Genereta kuliwasha lazima Uweke Mafuta Kutwa nzima si chini ya 25000.
Hii mambo ya kukatika na kuwaka kwa umeme imenisababishia balaa tu, iliharibu kitendea kazi kimoja ofisini aisee. Sasa hivi nikitaka kutoka nje ya ofisi nalazimika kuzima kila kifaa kuepusha balaa ya kuviunguza tena.
 
ASANTE itafika wakati Biashara ndogo Ndogo zetu zitakufa, Hatulalami Tunatamani Pengine atajitokeza Mwenye mtaji Awekeze Tukimbie Tanesco Haraka Sana. Nitahama Tanesco kwa spiidi kama ikipatikana kampuni nyingine
Mkuu kama huridhiki na services za Tanesco, push them back, protest, protest, protest, tuache uoga wa kizuzu, umeme haukatiki nyumbani kwa waziri Biteko!!
 
Back
Top Bottom