kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,012
- 11,945
Mkuu akilaumiwa mwanao kwa tabia mbaya,moja kwa moja lawama zinaangukia kwa mzazi wa mtoto,hapo namba moja ndio anabeba mzigoKwa hili polisi wanalaumiwa bure, ujumbe huu ungeelekezwa kwa watawala direct.