Tamko la Shura ya Maimamu kufuatia Jeshi la Polisi kuwashikilia Viongozi wa CHADEMA

Nyie Shura ya Maimamu tulieni fanyeni shughuli zenu kwa mujibu wa katiba yenu. Acheni serikali kupitia jeshi la polisi wafanye shughuli zao hakuna mtu anauawa ni sheria ndio itatumika. Rais aliapa kuilinda katiba na sheria zake zote. We unajuaje km kongamano la katiba ilikuwa geresha tu na kuna mambo yamejificha nyuma ya pazia?

Hawa watu wana mikono mirefu wanafanya kazi hata wakati we unakoroma au unam-do mwenza wako. Hatuchelewi kuja kuilaumu serikali yakitokea yakutokea na tena nyie na mnaofananao ndio mtakuwa wa kwanza kuinyoshea kidole serikali kuwa 'hamjawahi kuona serikali dhaifu km hii kwani hawana vyombo vya usalama'?

Tuna imani na serikali yetu. CHADEMA wameshakosa mwelekeo tangia 2015 wanataka kutumia njia haramu na huruma ya wananchi.
ShUghuli zao ni pamoja na hizi! Kuhubiri na kutetea haki coz bila haki hakuna amani
 
Unamjibia mdini mwenzio? watu mna Rais, waziri mkuu, jaji mkuu, mkuu wa TISS bado mnalalamika udini? Hvi mtaridhika lini?

Wakati CHADEMA inawapigania kina ponda na Masheikh wa zenji sikuona mkiwasifia. Lissu kwenye kampeni zote alikua anapiga kelele watolewe, Eti leo hii mnajifanya kuwapangia Maimamu cha kuandika??

Embiciles

Acha ujinga wako,ponds alisimama nayeye kwenye majukwaa ya kisiasa kuipigania chadema au umesahau??

Hiyo ilikua ni win win kwenu nyote,pia hiyo haiwez kujustify hawa mafala wenzenu wa chadema kama yericko na kigogo kumtukana samia na waislam,wafikishie hizo habari
 
Yeriko na kigogo ni nani hapo CHADEMA hadi uchukue matamshi yao kama official party statement? Kwahiyo Lukuvi aliposema Zenji itakua dola ya kiislam siku ikiwa huru ulikua msimamo wa chama??

Kusini mtaendelea kuburuza mkia kwenye kila kitu mtabaki kulaumu udini tu.

Hao ni wafuasi na wanachama wa chadema,

Who knows,kama Chama kimetuma kupitia upande mwingine tunajuaje,sisi hatuangalii kama official party statements,tunaangalia waliosema Wana affiliation na chama gan,that's why tunawaambia wafuasi wa chadema na chadema wapambane na serikali,siyo waislam
 
Msimamo wa mtu mmoja asiye kiongozi wa chama hauwezi kuhusishwa na chama kizima. Yeriko sijui kigogo au Fatma Karume sio viongozi wa CHADEMA so maoni yao ni individual so huwezi yahusisha na chama kizima ni mistake.

Miaka yote msimamo wa CHADEMA ni Zanzibar huru, Haki kwa wote bila kubaguana kidini au kikabila. So hawawezi tumia kete ya udini kutafuta kura. Till then mambo ya Twitter yatenganishwe na official party position.

Hatuwez kuacha kuwapa majiti ya rohon hao wendawazim wenu yericko na kigogo ambao ni wanachama wenu eti KWA hoja kuwa siyo statement ya chama,hiyo mtajua nyinyi,as long as wanauhusisha uislam na waislam hatuna simile katika hilo,an eye for an eye...
 
Waache wafanye, nimewaona wakijaribu. Pengine hawafahamu Waislamu kiundani ni akina nani!

Watawahoji kipindi cha awamu iliyopita mbona matendo yake hayajanisibishwa na dini yake bali ni yeye mwenyewe.

Iweje huyo mumnasibishe na dini yake? Wataulizwa tu mna chuki na Uislam? Na ikishafika hii hatua wasidhani hata akina Sheikh Ponda watawaunga mkono.

Wengine wamefika mbali wamekashifu wazanzibar (japo mi ni wa bara).

Waache waje!

Hawa ni radical Christians,

By that time Magufuli hawakuwa wakimkosoa kwa kumlinganisha na iman yake,leo wakiona weakness katika utawala wanafanya kila wawezalo kuhusisha iman ya president na matendo yake,wanadhan sisi hatuon hilo...

No,this time tutaongea lugha wanayoielewa
 
Kuna press release yoyote ambayo CHADEMA imemkosoa Mama Samia sababu ya dini yake? Au post za member wa JF ndio inageuka official party position?

No wonder mliporwa gesi na korosho.... CCM ilishajua mna reasoning ndogo sana.
Huyu dada Yericko Nyerere ni kiumbe wa chama kipi kama sio hicho cha wanywa Mbege?
Sasa ulitaka wachapishe kwenye mzalendo na Sura ya mbowe ndio ukubali kuwa limetoka chadema?
Hamna pesa za kuchapisha chuki zenu ndio sababu mnawatumia hawa wapima mbege kina Kigogo kuropoka ovyo
 
Sasa kwani Yericko na Kigogo wana vyeo gani ndani ya CHADEMA?

Hayo ni maoni yao yaliyopotoka, Sasa na wewe kama unataka kuwa mdini kama wao basi na wewe utakuwa huna tofauti nao

Wana vyeo gani??

Hao wendawazim kama mdude nyagali si ndiyo chama kinawatumia kukashifu viongoz na sasa wanaona haitoshi wanakuja kukashifu uislam?

Tutaongea nao lugha wanayoifaham sasa
 
Wapuuzi sana wanashikiwa akili na yule pimbi sijui kigogo anajificha kama nguchiro huku anatukana Waislam.
Watoto wa zinaa ndio kawaida yao.
Wakitaka kutukana wanajificha .
Yule dada Yericho iko siku alikunywa mapuya akapotea njia wakamuokota kule buza, kalazwa kwa mganga wa kienyeji wiki 2 kina mama wengine wa chadema wakadai Katekwa.
Wakiambiwa mapuya nuksi wanaandamana .
 
Watoto wa zinaa ndio kawaida yao.
Wakitaka kutukana wanajificha .
Yule dada Yericho iko siku alikunywa mapuya akapotea njia wakamuokota kule buza, kalazwa kwa mganga wa kienyeji wiki 2 kina mama wengine wa chadema wakadai Katekwa.
Wakiambiwa mapuya nuksi wanaandamana .

Ha ha ha,

Alhabib umenivunja mbavu zangu Sana,

Hawa wapuuz wanachokoza wenyewe huu mziki baadae waje kutupa lawama tuh hawaa,

Washenzy waja laana hawa,dawa yao ni kwenda nao kwa lugha hizi may be wataelewa hawa makafiri
 
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA

TAMKO LETU KUFUATIA JESHI LA POLISI NCHINI KUWASHIKILIA VIONGOZI WA CHADEMA

Shura ya Maimamu Tanzania tumefuatilia kwa kina tukio la Jeshi la Polisi kuwakamata viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendrleo CHADEMA. Tumejiridhisha tukio hilo ni ukandamizaji wa Demokrasia na haki za binadamu.

Tumepokea tukio hili kwa masikitiko makubwa.

Kushikiliwa kwa Viongozi hao wa CHADEMA na baadhi ya wanachama hao, kumetokea muda mchache kabla ya kufikia tarehe ya Kongamano la Kikatiba lilio andaliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kufanyika Jijini Mwanza Ukumbi wa Tourist Hotel.

Kukamatwa kwa Viongozi hao ni kiashiria tosha kuwa Jeshi la Polisi nchini lina endeleza hujuma dhidi ya wananchi kwakuwa haki ya kukusanyika na kutoa maoni ni haki ya Kikatiba. Na kuendelea kuwazui Watanzania kutotumia haki yao ni kuvunja Katiba.

Shura ya Maimamu Tanzania inalitaka Jeshi la Polisi Tanzania kuwaachia viongozi wote wa CHADEMA na wanachama wake bila masharti yoyote.

Pia tunazidi kushauri vyombo vya dola ikiwemo Jeshi la Polisi Tanzania, kutoendeleza vitendo vya ukiukwaji haki za raia na kukandamiza uhuru wa watu kujieleza. Kwani vitendo hivi vina leta taswira mbaya kwa taifa letu.

KATIBU MKUU
Shura ya Maimamu Tanzania
Leo tar 23.07.2021
0656654546
Dah uislamu Tanzania unazidi kupata heshima mungu awabariki Sana shura ya maimamu.
 
Nyie Shura ya Maimamu tulieni fanyeni shughuli zenu kwa mujibu wa katiba yenu. Acheni serikali kupitia jeshi la polisi wafanye shughuli zao hakuna mtu anauawa ni sheria ndio itatumika. Rais aliapa kuilinda katiba na sheria zake zote. We unajuaje km kongamano la katiba ilikuwa geresha tu na kuna mambo yamejificha nyuma ya pazia?

Hawa watu wana mikono mirefu wanafanya kazi hata wakati we unakoroma au unam-do mwenza wako. Hatuchelewi kuja kuilaumu serikali yakitokea yakutokea na tena nyie na mnaofananao ndio mtakuwa wa kwanza kuinyoshea kidole serikali kuwa 'hamjawahi kuona serikali dhaifu km hii kwani hawana vyombo vya usalama'?

Tuna imani na serikali yetu. CHADEMA wameshakosa mwelekeo tangia 2015 wanataka kutumia njia haramu na huruma ya wananchi.
Serikali ilishakosa credibility enzi za jpm Sasa mnamkosesha mama credibility pia kimsingi hamuaminiki maana tayari mna madoa 183 ya kubambikia watu kesi na hii ni takwimu zenu vipi takwimu ambazo ni za haki na c zenu je takwimu c zitafika maelfu? Je bado mnataka kuaminika?
 
Huyu dada Yericko Nyerere ni kiumbe wa chama kipi kama sio hicho cha wanywa Mbege?
Sasa ulitaka wachapishe kwenye mzalendo na Sura ya mbowe ndio ukubali kuwa limetoka chadema?
Hamna pesa za kuchapisha chuki zenu ndio sababu mnawatumia hawa wapima mbege kina Kigogo kuropoka ovyo

Yaani Kigogo2014 ni CHADEMA? Ana cheo gani? Au Yeriko ni msemaji wa chama siku hizi? Maoni ya Twitter yasigeuzwe msimamo wa chama.
 
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA

TAMKO LETU KUFUATIA JESHI LA POLISI NCHINI KUWASHIKILIA VIONGOZI WA CHADEMA

Shura ya Maimamu Tanzania tumefuatilia kwa kina tukio la Jeshi la Polisi kuwakamata viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendrleo CHADEMA. Tumejiridhisha tukio hilo ni ukandamizaji wa Demokrasia na haki za binadamu.

Tumepokea tukio hili kwa masikitiko makubwa.

Kushikiliwa kwa Viongozi hao wa CHADEMA na baadhi ya wanachama hao, kumetokea muda mchache kabla ya kufikia tarehe ya Kongamano la Kikatiba lilio andaliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kufanyika Jijini Mwanza Ukumbi wa Tourist Hotel.

Kukamatwa kwa Viongozi hao ni kiashiria tosha kuwa Jeshi la Polisi nchini lina endeleza hujuma dhidi ya wananchi kwakuwa haki ya kukusanyika na kutoa maoni ni haki ya Kikatiba. Na kuendelea kuwazui Watanzania kutotumia haki yao ni kuvunja Katiba.

Shura ya Maimamu Tanzania inalitaka Jeshi la Polisi Tanzania kuwaachia viongozi wote wa CHADEMA na wanachama wake bila masharti yoyote.

Pia tunazidi kushauri vyombo vya dola ikiwemo Jeshi la Polisi Tanzania, kutoendeleza vitendo vya ukiukwaji haki za raia na kukandamiza uhuru wa watu kujieleza. Kwani vitendo hivi vina leta taswira mbaya kwa taifa letu.

KATIBU MKUU
Shura ya Maimamu Tanzania
Leo tar 23.07.2021
0656654546
Ukweli mtupu
 
Mimi kama muislam sijafurahishwa na matendo wanayofanyiwa viongozi wa Chadema. Haki itashinda InshaaAllah!
 
Ukweli mtupu
Ni sisi wapinzani wenyewe tutaweza kujitetea, kwa sasa ccm wamepoteza ushawishi kwa umma, hivyo wamejihika na vyombo vya dola ili kuendelea kututawala kwa shuruti. Namna pekee ni sisi wapinzani kugoma kushirikiana na wanaccm.

Hakina kushiriki msiba wala sherehe ama hafla yoyote ya mwanaccm, hakuna kununua chochote kwenye biashara ya mwanaccm ama hata kupakia vyombo vyao vya usafiri labda iwe lazima sana. Tusiogope kuhamashana kwenye hili. Kwa vyovyote mbinu hii itamgusa kila mtanzania. Kwenye nyumba za ibada hakuna kutoa sadaka, na kuwaambia viongozi wa dini wanakalia kimya uovu. Mbinu hii haitatuacha na vilema wala kubambikiwa kesi, kutekwa ama kuuwawa. Mbinu hii ilitumiwa Zanzibar na ilifanya kazi. Madai ya katiba mpya ni ya halali, kwani wezi wa kura wasio na ushawishi waendelee kututesa na kutimiza kwa madai yetu halali. Ni juu yetu wapinzani kujiokoa.
 
Kwa hili polisi wanalaumiwa bure, ujumbe huu ungeelekezwa kwa watawala direct.
Ila nao wameulenga utawala though indirect kwa kuwa utawala haukuwepo pale physically bali ulitumia remote control.
Polisi ni kama mbwa tu ambaye ukumuamrisha kung'ata anang'ata, yaani kwa kifupi polisi ni mbwa na si watu ndiyo maana wao hutii maelekezo bila ya kutumia akili.
 
Huyu mtoto huwa ni mjinga sana, huwa analeta uisilamu wake kwenye mambo yasiyo na uhusiano. Anadhani kwakuwa yeye ana Udini maandazi kila mtu na anaendekeza hiyo mitazamo kama yake. Magu tulikuwa tunamuona anaenda kanisani kila siku, lakini tulikuwa tunajua fika ni mnafiki na dhalimu, na hatujawahi kumtetea eti kisa ni mkristo. Huyu mjinga akiona mtu kavaa nikabu kwake anaona ni muislamu.
Watoto wa zinaa kama nyinyi ni disgrace kubwa sana,we wonder why hawakutumia Mpira instead wakatuletea kituko kama hiki kwenye ardhi,

Anyway,umekuja kwa zinaa,make sure huyo mumeo ulienae asiendelee kukuzalisha watoto wa zinaa kama wewe mama yao, umeelewa?
 
Watoto wa zinaa kama nyinyi ni disgrace kubwa sana,we wonder why hawakutumia Mpira instead wakatuletea kituko kama hiki kwenye ardhi,

Anyway,umekuja kwa zinaa,make sure huyo mumeo ulienae asiendelee kukuzalisha watoto wa zinaa kama wewe mama yao, umeelewa?

Sawa mama Majaliwa.
 
Back
Top Bottom