Tamko la CHADEMA - Aprili 14, 2013

Status
Not open for further replies.
Kwa muda mrefu kuna tabia imezuka ya Watanzania wengi kupenda kulalamika kuhusu mwenendo mzima wa serikali na kumekiwa na malalamiko mengi kuhusu udhaifu wa serikali ilioko madarakani na ni kweli serikali hii ina madhifu mengi lakini tatizo ni kwamba hao wanaolalamika wakiongozwa na Chadema hawatoi masuluhisho ya matatizo hayo Je mbona hao chadema sijaona sera zao zaidi ya malalamiko na ukosoaji Chadema wasidhani tutawapa nchi kwa kelele zao za kuikosoa CCM majukwaani Tunataka sera madhubuti za kuziba makovu ya CCM na si kelele tu Nyie wapinzani tupeni na nyie sera zeno tuzipitie na si kukosoa za chama tawala tu lasivyo tutaishia kuwa mabingwa wa malalamiko yasio na masuluisho Mungu ibariki Tanzania!
 

Mbona unahangaika mkuu...?
 
Duh! Duru za ukweli. Tunaomba mahakimu wote wanaoshuhulikia kesi hii waache BIA kwa kipindi hiki kigumu! maana kweli CDM kimekamilika kuliko kina Mtella wanavyofikiria kijuujuu.
 
Duh! Hii ni hatari.....Chadema ni noma. Maskini CCM....mbinu zote zinabumbuluka.
 
Asante mkuu hapo mahali nilishapaona kwa nje tu! Marafiki zangu wote wa system nilio skuli nao sitaki hata kuwaona siku hizi. Nikikumbuka jinsi vijana wanavyotumika miaka ya hivi karibuni kufanikisha mambo maovu nasikia hofu na hasira ndani ya moyo wangu.
Vijana niliowafahamu leo wameajiriwa sehemu zinazonuka damu ya wanyonge kweli? Hivi usalama wa taifa wanatupeleka wapi Pasco?

Hii ni dhahiri kabisa usalama wa taifa sasa ni vipande vipande. Na hata nguvu tunazoaminishwa kwamba wanazo hadi kufikia uwezo wa kumkaripia rais wa nchi ni mambo ya kusadikika. Usalama wa taifa yaani imegeuka genge la wahuni kweli hii ni haki?
Yaani wanaacha kushughulikia mambo magumu yanayoliumiza taifa, kama vile mambo ya EPA, DOWANS, MEREMETA, KIWIRA kutatua vitendawili hivi lakini wao wanageuka wauwaji. Tena vifo vya kikatili kwa kung'oa watu kucha na meno hadi kuwatoboa macho jamani hii ni haki kweli? Kisa cha yote haya ni kufanikisha interest za kisiasa kwa makundi fulani.
 


hahahahahahahaha Pasco
 
Last edited by a moderator:

Uje utunge wimbo au shairi la bonafide genuine make hilo neno umekariri kama vtoto vya form1 vnavokariri maneno ya sayansi
 

Pasco
Kujua namba ya simu ya mtu ni classified inf? Sijaona mahali walipotoa nini wameongea au text to each other or one another. Mpaka sasa mpewa tu nani aliongea na nani na lini hii si classified info. Tutaitaka mahakama iombe kwa makampuni ya simu mawasiliano ya hizi namba tarehe tajwa. Ukumbuke huwezi kutetea kesi bila kuifanyia uchunguzi.

Usiweweseke subiria mechi halafu mbeep bosi.
 
usilolijua kama usiku wa giza, tuombe mumgu ukweli wa watesaji wa kibanda wapatikane maana kila binadamu anaupeo wake wa kufikiri, roho zimetofautiana na shetani ananguvu, siku moja tutashangaa ukweli ukipatinana tuombe mungu
 

Kaka uko sahihi kabisa. Wasnaotaka kudivert kutoka katika hili tamko ni walio na hofu nna wanatapatapa kujua cha kuandika. For sure ni ifike mahali hata kama mtu ni mjinga nkiasi gani akubaliane na reality na sio kupindisha. Kila uendapo Tanzania hii na nje CHADEMA imekuwa gumzo kwa jinsi inavyoipeleka puta CCM na machache yanayoonekana kufanywa na hii serikali currupt na dhaifu ni kwa kuogopa kunyukwa na wananchi wanapopata taarrifa. ni vyema CCM kijiondoe katika kashfa hii kwa kuwatosa hawa wote waliohusika na mipango hii michafu. Chama kitanuka kwa matukio haya na hasa yalivyokuwa revealed. Jamii inajua nna hii taarifa itakuwa cemented na tamko la Chadema. Mwigulu is nothing to CCM rather than trouble maker as ZITTO KABWe and their allies.Ni vyema CCM ijiepushe na kwa kuwaosha wote hawa la sivyo jamii imeshawashtukia na itawagarimu sana. Mpango huu mlokuja nao mliingia chaka na ni lazima mrudi, uonevu, udhalimu na vitisho vitawaangamiza.Makamanda tutafanya kazi na watafanikiwa kwa kuwa Mungu tunayemwabudu ni mwema na atawaangamiza watesi hawa wote.
 

hii ishu ya kutunga kwani malando hamumjui kuwa anataka u makamu mweyekiti ndo antafuta sifa kwa migongo ya watu kweli dunia tambala bovu hata wazee waongo.
 
Hahahaah kwa hao mawakili basi tena labda jaji awe mwigulu mwana wa nchemba

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
When the hunter become the hunted!!!...someone should write a book about ccm going from being the hunt to being the hunted!!
 

Mmetumwa na bado mengi yatajulikana
 

jipange tena huo muhanga utajitoa mwenyewe kwa kutojua matakwa ya wanasiasa unao watetea hivi unalipwa sh ngapi kwa hii kazi ya kutetea magaid
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…