Tamko la CHADEMA - Aprili 14, 2013

Tamko la CHADEMA - Aprili 14, 2013

Status
Not open for further replies.
Nilikuwa mwanaCCM zamani ,kuanzia leo mimi ni CHADEMA .Tuangalie ukweli ndugu zangu.Hivi haya mambo ya kubambikiwa yalikuwepo na sasa ndio silaha ya mwisho ya CCM.Jamani CHADEMA NI MAKINI SANA.TUACHE USHABIKI.NAVAA GWANDA LEO HII

huo ni upande mmoja hatujapata upande wa pili je tunaaminije?
 
Mmmmhhh hapo Nchemba kazima ajambe

tofauti ya cdm na ccm ni kwenye umakini wa kupanga,utekelezaji na kutokuwa na papara lakini kubwa kuliko yote ni mapenzi ya dhati kwa watu muhimu kwa cdm katika kuakikisha mbinu zote za kizalimu za ccm kuihujumu cdm zinashindwa.wote ambao mnashiriki katika kufichua mbinu dhalimu mungu wa yakobo asiye lala mchana wala usiku awape nguvu na hekima katika kutenda kazi ya kukomboa taifa.
Tulianza na mungu na tutamaliza na mungu.
 
Nawashangaa magaidi kurukaruka Maana hizi mbwe mbwe kwenye Tamko haziondoi ukweli wa Yale yaliyopo kwenye video ya lwakatare. Marando angetuambia Yale anayoongea lwakatare Sio kweli Tamko lake lingekuwa na maana

Hapo angekuwa ameingilia uhuru wa mahakama.,Huu mziki unaujua au unarukaruka tu hapa???Pole pumzisha akili kidogo.
 
Nimejikaza kiume nisitokwe na machozi.inauma sana ila we will never surrender mpaka mageuzi yafanyike tanzania

mkuu jitahid usilie mpaka upate ukweli ila huwezi kulia kwa post ya upande mmoja make wanasiasa ni wajanja na wanauwezo mkubwa wa kuunda mambo.
 
mwigulu kutaka kufuta ushahidi vodacom maana yake mawasiliano yake yako uchi sana

Marando amemaliza

kesho bungeni wachangiaji wasifanye counter
 
Nakushauri usiwe unamjibu mkuu huyu anafanya thread inakuwa ndefu bila sababu, watu wengine wanamajukumu wakiingia wanasoma page mbili wanaacha kumbe katikati ndo kuna mawazo mazuri yamechangiwa

huwa simjibu, ila kwa leo nimeshindwa kujizuia kwa furaha!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Main ishu ni hizo kumbukumbu za kwenye mitandao ya simu....nashauri cdm watumie ushushushu wao kuzipata mapema.

Wafanyakazi wa voda, tigo , airtel ambao ni wazalendo mtusaidie ili taifa lipone.
 
Hiki mbona kinaonekana kama kichekesho cha mwaka!

Yaani wakili ana ushahidi tena mzito halafu anaitisha press badala ya kuupeleka mahakamani! Ajabu.

Swali jepesi na kitendawili kizito kwa CHADEMA, je Lwakatare yale maneno katika ule mkanda aliyasema?

Kama Lwaka akikubali zile njama, hizo namba za simu ni useless kwa vile mtuhumiwa amepatikana na hatia ya kula njama za kuteka.

Labda CHADEMA ifungue kesi nyingine ya kupinga maafisa usalama wa taifa kuwasiliana na watu wengine nje ya usalama!

Hizo kumbukumbu wataalamu wanaweza wakacheza nazo halafu mkafunguliwa kesi ya kughushi taarifa za uongo.
 
:lalala:
Nawashangaa magaidi kurukaruka Maana hizi mbwe mbwe kwenye Tamko haziondoi ukweli wa Yale yaliyopo kwenye video ya lwakatare. Marando angetuambia Yale anayoongea lwakatare Sio kweli Tamko lake lingekuwa na maana

Hapo angekuwa ameingilia uhuru wa mahakama.,Huu mziki unaujua au unarukaruka tu hapa???Pole pumzisha akili kidogo.
 
hongera Marando hongera Chadema. hakika nyinyi ni watu makini.
wapenda haki tupo nyuma yenu.
 
Hakika tuungane na chadema kuujua ukweli. Tusiwe na wasi bali tuvute subila kuujua ukweli. God's Great!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom