APA CHICAGO
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 259
- 293
Leo nikiwa zangu Maeneo ya Mtaa wa Isevya mjini Tabora nimekutana na mlinzi mmoja wa shule ya sekondari ya serikali akaniambia ya kwake ya moyoni kuwa ana miezi miwili sasa hajalipwa yaani wa Saba na wa nane.
Akasema mhasibu wa shule Kila akimpigia anajibiwa mfumo haujafunguliwa wa kuwawezesha kulipa.
Maswali niliyojiuliza ni haya hivi hao TAMISEMI wanafikilia shule zikifungwa na walinzi wanakuwa likizo hivyo hawalipwi?
Je, wao hapo TAMISEMI wanaweza kufanya kazi bila kulipwa mishahara miezi miwili 2 na kuendelea?
Maofisa wa TAMISEMI mnaoshugulika na mifumo ya malipo mashuleni acheni urasmu usio na maana na ubinafisi kumbukeni Kuna watu wengi tu wanategemea vijisenti ili wagange Maisha Yao na familia zao kama huyu baba niliyekutana naye Tabora.
Bashungwa ongilia kati hili kama ni kweli mfumo haujafunguliwa.
Akasema mhasibu wa shule Kila akimpigia anajibiwa mfumo haujafunguliwa wa kuwawezesha kulipa.
Maswali niliyojiuliza ni haya hivi hao TAMISEMI wanafikilia shule zikifungwa na walinzi wanakuwa likizo hivyo hawalipwi?
Je, wao hapo TAMISEMI wanaweza kufanya kazi bila kulipwa mishahara miezi miwili 2 na kuendelea?
Maofisa wa TAMISEMI mnaoshugulika na mifumo ya malipo mashuleni acheni urasmu usio na maana na ubinafisi kumbukeni Kuna watu wengi tu wanategemea vijisenti ili wagange Maisha Yao na familia zao kama huyu baba niliyekutana naye Tabora.
Bashungwa ongilia kati hili kama ni kweli mfumo haujafunguliwa.