Kesho ukiambiwa na hao unaowaabudu kwamba wanaijua Dunia kwamba Tanzania ni nchi ya kwanza Duniani kwa uchumi imara Utakenua meno. Achana na data za wazungu, angalia haliya uchumi wako na wanaokuzunguka ukoje. Acha vya kuambiwa tumia akili na macho.
Kabla haujapost hii thread ungetakiwa kujiuliza maswali yafuatayoWatu wameng'ngania takwimu za miaka 20 iliyopita .. Tanzania nchi ya tatu kwa umasikini Duniani mara Tanzania nchi ya kwanza kwa umasikini Duniani. Angalia Orodha ya Nchi masikini kutoka katika macho ya watu wanaoijua Dunia. Tanzania haimo kwanye orodha ya nchi 25 masikini zaidi Duniani.. Hii maana yake imependa sana katika miaka ya hivi karibuni kutoka nafasi ya 3 hadi nafasi ya 26! Aidha kwa kasi tuliyonayo tunaendelea kuzivuta nyuma nchi mbali mbali na kwenda juu zaidi. Aidha Tanzania inatajwa kuwa moja kati ya nchi 10 duniani ambazo uchumi wake unakuwa kwa kasi. Nchi Tajiri zaidi Duniani ni Qatar!
https://fbcdn-sphotos-e-a.akamaihd....0x720/1001011_545338152168858_129569371_n.jpg
Mimi sijadili kwamba TZ ni yangapi? Nachosema watu wanashangilia chakuambiwa toka kwa wazungu wakati ukweli wa maisha yetu ya Kitanzania sote tunayajua yalivyo.Si kila jambo unapaswa kubisha we bw.eg.e,tueleze wewe kwakutumia macho yako tz ni nchiya ngapi:clap2:
Watu wameng'ngania takwimu za miaka 20 iliyopita .. Tanzania nchi ya tatu kwa umasikini Duniani mara Tanzania nchi ya kwanza kwa umasikini Duniani. Angalia Orodha ya Nchi masikini kutoka katika macho ya watu wanaoijua Dunia. Tanzania haimo kwanye orodha ya nchi 25 masikini zaidi Duniani.. Hii maana yake imependa sana katika miaka ya hivi karibuni kutoka nafasi ya 3 hadi nafasi ya 26! Aidha kwa kasi tuliyonayo tunaendelea kuzivuta nyuma nchi mbali mbali na kwenda juu zaidi. Aidha Tanzania inatajwa kuwa moja kati ya nchi 10 duniani ambazo uchumi wake unakuwa kwa kasi. Nchi Tajiri zaidi Duniani ni Qatar!
https://fbcdn-sphotos-e-a.akamaihd....0x720/1001011_545338152168858_129569371_n.jpg
Watu wameng'ngania takwimu za miaka 20 iliyopita .. Tanzania nchi ya tatu kwa umasikini Duniani mara Tanzania nchi ya kwanza kwa umasikini Duniani. Angalia Orodha ya Nchi masikini kutoka katika macho ya watu wanaoijua Dunia. Tanzania haimo kwanye orodha ya nchi 25 masikini zaidi Duniani.. Hii maana yake imependa sana katika miaka ya hivi karibuni kutoka nafasi ya 3 hadi nafasi ya 26! Aidha kwa kasi tuliyonayo tunaendelea kuzivuta nyuma nchi mbali mbali na kwenda juu zaidi. Aidha Tanzania inatajwa kuwa moja kati ya nchi 10 duniani ambazo uchumi wake unakuwa kwa kasi. Nchi Tajiri zaidi Duniani ni Qatar!
https://fbcdn-sphotos-e-a.akamaihd....0x720/1001011_545338152168858_129569371_n.jpg
Nyerere alitutoa kutoka nchi ya kwanza Afrika kusafirisha mazao ya kilimo tulipopata Uhuru mpaka kuwa omba-omba kwa miaka saba tu ya mwanzo aliyotawala, iliyobaki ndio akatupeleka kwenye uhohe-hahe wa mwisho duniani, maskini kuliko wote.
Kikwete katutowa huko na anazidi kutupaisha, miradi yake aliyoanzisha ndio misingi ya kutupeleka tunapopataka.
bongo lala.
Tanzania haimo kwanye orodha ya nchi 25 masikini zaidi Duniani.. Hii maana yake imependa sana katika miaka ya hivi karibuni kutoka nafasi ya 3 hadi nafasi ya 26!
Kabla haujapost hii thread ungetakiwa kujiuliza maswali yafuatayo
1. Hapa duniani kuna nchi ngapi?
2. Kuna nchi ambazo hazina Rasilimali kama Tanzania kwa nini sio masikini?
3. Tanzania ina Rasilimali nyingi na zingine zinapatikana tanzania Pekee kwa nini ni masikini?
4. Je hiyo nafasi ya 26 ni ya kujivunia?
Ukipata majibu ya maswali hayo sidhani kama unaweza kushabikia hiki ulichokiwasilisha