ifweero
JF-Expert Member
- Jun 12, 2013
- 7,957
- 1,341
Kabla haujapost hii thread ungetakiwa kujiuliza maswali yafuatayo
1. Hapa duniani kuna nchi ngapi?
2. Kuna nchi ambazo hazina Rasilimali kama Tanzania kwa nini sio masikini?
3. Tanzania ina Rasilimali nyingi na zingine zinapatikana tanzania Pekee kwa nini ni masikini?
4. Je hiyo nafasi ya 26 ni ya kujivunia?
Ukipata majibu ya maswali hayo sidhani kama unaweza kushabikia hiki ulichokiwasilisha
kwa mtu anayetumia kichwa kufuga nywele peke yake lazima anapinga takwimu hizi