Takwimu: Zijue nchi masikini Duniani

Takwimu: Zijue nchi masikini Duniani

Ina maana sasa hatupo kwenye orodha japo hali ni mbaya sana.
 
Nyie wa tz si mnashinda kwenye misikiti na jumia za kikristo huku mkiaminishana kwenda kuishi vizuri mbinguni huku wezi wakichukua rasilkmali zetu lkiwemo tanzanight nk.Nashauri dini zingilie kati kuhusu umasikini wetu

Ingekuwa hata ijumaa moja kwa waislamu na jumapili moja kwa wakristo viongozi wa dini kuongelea na kufafanua hali ya uchumi na umasikini nchini na tufanye nini mbona nyerere ni misikiti ilimuongoza
 
Haiwezekani Tanzania kuwa masikini kuna wasomi wengi sana...

wasomi tz hawathaminiwi, i.e they are not subjected to creation of ideas which in turn will be tested as a result of research. In tz, it sounds like we don't value R&D. Upon realisation of tz not working with R&D, professionals are doing research as part of supplementing income, any other outcome, as none of their business; but for politicians who aim to fulfil objectives for the minority.
 
Ndio maana tunaambiwa watanzania tumelala. Kila siku sisi tunasoma figure ya mwisho badala ya kuangalia mtiririko mzima. Ni aibu kwa nchi kama tanzania kuzidiwa ukuaji kiuchumi na Rwanda. Rwanda ni ndogo sana, inazidiwa ukubwa na mikoa ya tanzania zaidi ya 15, Pia rasilimali tulizonazo ni nyingi kulinganishwa na Rwanda. Acha tuendelee kulala ila baridi litakapozidi kukikaribia asubuhi Naamini tutatafuta shuka likopo.

wamesema Rwanda inakwiba mali za watu ie DRC
 
Kiukweli machozi yamenitoka,, yaani tuko kwenye kundi la nchi masikini???
Migodi mitatu tu ilitakiwa itutoe hapa,,, ---- u all mnaoyasababisha haya,,, why, why, why this hawaoni?? hizi ni dharau na aibu, tunajiita kisiwa cha amani but we are pooor, ---- this....
PROF MUHONGO UNAJISIFU UMESOMA HALAFU UKO KWENYE NCHI MASIKINI.... !! Bajeti unayoisoma ni 60% ni hela za wazungu halafu. Ooooh nimesoma.. do something speacial,tuseme yes amefanya na sio kelele,, oooh mimi niamesoma!!!!
GHARIKA LIJE TUFE WOTE, TZ IANZE UPYA..
Masikini weee wengine huvaaa skafu, eti wazalendo kwenye mfumo ulioleta umasikini wa kipato na kifikra... Inatia hasira.
 
Tz tulitakiwa tuwe tunapambana na akina South Africa,Nigeria nk bas tu!

Uko sahihi kabisa,,, ila hili group la wanyang'anyi aka wezi wazalendo ndio wametufikisha hapa.
 
Nchi masikini halafu utakuta jitu limevaa suti na tai yake linaongea upumbavu na ujinga mwanzo mwisho,huku wengine wakigonga meza kama wehu vile,,, bila kuhoji...
Yah ndio nchi yetu masikini, na sio umasikini wa kipato tu mpaka fikra...
FIKRA ZA WATAWALA ZIKO TUMBONI NA KWENYE MAPENZI TU.
Hawa PANYA BUKU,wanajiibia mpaka wenyewe halafu hela wanaenda kuficha uswisi, huu si upumbavu uliopitiliza jamani..

WAKATI WAKUWAPIGIA KELELE ZA WEZI AO,WEZI AO UMEFIKA SASA NA KUYAPIGA MAWE MAGARI YAO NA WAO WENYEWE TUKIWAONA TU HUKU MITAANI.
WAAKATI WA KWENDA KULIPOPOA KWA MAWE BUNGE LETU UMEFIKA SASA, MIJITU MIZIMA HAIONI HATA AIBU KUONGOZA NCHI MIAKA 50 HALAFU BADO MASIKINI?? Utawasikia oooh sisi wasomi ...
 
he? Kumbe mpaka tanzania ipo? Kinana na nape wanazunguka nchi nzima kuisifia ccm kumbe bure? Loh?
 
Ukiona mtu anaipenda CCM ujue kuna mambo mawili either hanaakili timamu or anamaslahi nayo
 
wasomi tz hawathaminiwi, i.e they are not subjected to creation of ideas which in turn will be tested as a result of research. In tz, it sounds like we don't value R&D. Upon realisation of tz not working with R&D, professionals are doing research as part of supplementing income, any other outcome, as none of their business; but for politicians who aim to fulfil objectives for the minority.

Watu kama wewe pia wachangia sana tuwe hapa tulipo sababu...1.Uandishi wako jaribu kurekebisha usiandike kama vile unajiandikia mwenyewe,jaribu kuangalia utaona! 2. Sijaona sababu ya wewe kutumia lugha ya kigeni ilhali mada imeanzishwa kwa kiswahili. 3. Kiingereza chako ni kibovu( very bookish) ni wewe tu na wenzako kama wewe ndik watakuelewa. Asante.
 
Watu kama wewe pia wachangia sana tuwe hapa tulipo sababu...1.Uandishi wako jaribu kurekebisha usiandike kama vile unajiandikia mwenyewe,jaribu kuangalia utaona! 2. Sijaona sababu ya wewe kutumia lugha ya kigeni ilhali mada imeanzishwa kwa kiswahili. 3. Kiingereza chako ni kibovu( very bookish) ni wewe tu na wenzako kama wewe ndik watakuelewa. Asante.

pole mkuu!
 
naskia magu ameshatutoa kutoka nchi maskin...tupo uchumi wa kati wakuu..
 
Back
Top Bottom