TAKUKURU tunaomba Msaada: Kijana huyu alipata ajira Serikalini lakini akaporwa kituo cha kazi na kupewa mwingine

Status
Not open for further replies.
Suala kama hilo liliwahi mtokea mshikaji wangu mmoja hivi mwaka 2014, baada ya kushauriana naye tukaamua aende Takukuru, bahati nzuri alisikilizwa na nafasi yake akaendelea na kazi wilaya moja Mtwara huko,asipokomaa hataipata.......
 
Hata mm binafsi niliposoma habari hii ilinisikitisha sana.

Ila nimefarijika baada ya kuona huyo jamaa kapangiwa kituo cha kazi leo na nimehakiki hadi kwenye tovuti ya sekretar ya ajira

placements

jina lake lipo namba 95.
 
Humu kuna watu wa ajabu sana.

Mtu ameamua kupambania haki yake watu wanaanza kumtisha.

Watu kunguru kama hawa wataishia kua mikia, wanaona Serikali ni mungu...

Wengine eti "Sio liziki pengine kuna fungu lako linakuja"

Yaani umemuomba mungu akupe kazi, kazi kakupa, unaporwa haki yako eti unakaa kinya tena akupambanie???

Huyu Mungu tunamuonea sana,

Haya kapata kazi sasa...
Kuna watu wanaboa sana....
 
Mie hata sikupi pole, kwani lazima ufanye kazi huko uliko? Ajira ngumu, umepata kituo kipya cha kazi kwanini usiende? Nenda Kafanye kazi acha kulalamika aisee, wenzio huwa wanaomba hata wakibadilishwa vitu mara mia cha muhimu Ana ajira. Wewe mvivu na huna shida ya ajira
Hakuwa amepangiwa, bali aliambiwa asubiri, na haambiwi hadi lini, yaani ilikuwa danadana
 
Pole sana; ushauri wangu fuata maelekezo uliyopewa kwamba usubiri nafasi zingine zikipatikana watakufanyia placement. Bila shaka itakuwa wamekuweka ktk database. Kuwa na subira mkuu
Sawa, ila kwanini kituo chake cha awali apewe aliyefeli usahili mwaka jana, na hana vigezo kwa iliyotangazwa mwaka huu, na hata usahili hakufanya kwa mwaka huu?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom