Smarter
JF-Expert Member
- Nov 10, 2008
- 527
- 110
Geat Thinkers,
Kwa mfanyakazi Bachelor, apatae Take home ya kati ya 850,000 mpaka 1,100,000/=
Unashauri aishi maisha ya aina gani ili aweza kuishi vizuri, na ku-save, ikiwezekana kufanya investment baada ya Muda.
1. Apange nyumba ya wastan wa Kodi kiasi gani?
2. Chakula ( ki makadirio) Monthly?
3. Gari aina gani?
4. A save kiasi gani Kwa mwezi?
5. Matumizi ya mwezi yanatakiwa kuwa asilimia ngapi ya kipato?
Swali liko general bt naamini we can have something to say.
Kwa mfanyakazi Bachelor, apatae Take home ya kati ya 850,000 mpaka 1,100,000/=
Unashauri aishi maisha ya aina gani ili aweza kuishi vizuri, na ku-save, ikiwezekana kufanya investment baada ya Muda.
1. Apange nyumba ya wastan wa Kodi kiasi gani?
2. Chakula ( ki makadirio) Monthly?
3. Gari aina gani?
4. A save kiasi gani Kwa mwezi?
5. Matumizi ya mwezi yanatakiwa kuwa asilimia ngapi ya kipato?
Swali liko general bt naamini we can have something to say.