Barakoa 001
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 5,434
- 14,901
Hawa wasiojua ni namna gani utapeli unafanyika ndio wakaangalie Nigerian PrinceKwa hiyo waache kudai hela wakaangalie Nigerian Prince kwanza!?
Hawa wasiojua ni namna gani utapeli unafanyika ndio wakaangalie Nigerian PrinceKwa hiyo waache kudai hela wakaangalie Nigerian Prince kwanza!?
Biashara za mali kauli hazina nafasi dunia ya sasa huko. Watu wanapigwa sana.Ndio hawakujua hayo yangetokea kwa sababu wateja wa mwanzo walipewa Chao hao wa mwisho ndo ikala kwao
Umewekewa list hapo ya main story isome Kwanza hiyo bossKawatapeli vipi yani.
Nyoosha maeleze bwa.shekhe
😂😂😂😂😂😂 mkuu vunga basi usikumbushe watu machungu na hela ilivyo ngumu siku iziMbona humu JF watu wengi wamepigwa. Umeshamsahau ontario na utajiri wake wa forex. Hadi boss wa JF alichoma akaunti....
Hata mie nashangaa, nilijua wanauza cash haaa haaa [emoji23]Walivyokuwa wanamshangilia sasa. ..kumbe ana mpango wake akilini,ama kweli mjini shule
Ccc braza Prince Kunta alicomment hivihivi hii thread ilipoletwa mwanzoHhhh siku zote ukiitiwa fursa ujue wewe ndo fursa
We matako,hata kama hamnazo, siku zingine jaribu igiza unazo,wewe siku zote unawaza siasa tu. Jina,sura yako haviakisi kabisa na matope ya kichwani mwako.Atakuwa ametokea kwenye chama kileeeeee
TAYARI..!!!! niliwahi kusema ktk ishu ya Mr. Kuku Farm kuwa wabongo wataendelea kupigwa tu hamna namna!
Hahaha kwamba Melo alichoma akauntiMbona humu JF watu wengi wamepigwa. Umeshamsahau ontario na utajiri wake wa forex. Hadi boss wa JF alichoma akaunti....
Yale yaleeAlikuwa anakusanya mahindi then anawalipa baada ya siku kadhaa ama wiki sasa alikusanya mahindi mengi sana then yameuzwa kalala mbele
hapana nitawapiga hawahawa.Nakushauri uende kuwapiga wakenya au waganda au wanyarwanda haipendezi kuwapiga ndugu zako wa tz, mara nyingi mimi huwa sielewi inawezekanaje utengeneze dawa feki kisha unaziuza kwa ndugu zako wa tz wakati kenya ipo
Sasa hapa CCM imeingiaje, kwani hayo mahindi yalikuwa yananunuliwa na CCM?Dah, Tz raha sana[emoji23][emoji23][emoji23], watu waliamini kabisa kwamba mtu anaweza nunua mahindi 75,000 then auze 45,000? Kweli? Hamna hata kujiuliza hayo ni mazingaumbwe ya wapi?
Huu ujinga mpaka uje utuishe ndo tutajua haki.zetu ni.zipi.
Tanzania kwa ujinga uliopo bado watu wapo Enzi za Mawe,
Hapa ndo ujue CCM itatawala miaka.100 ijayo mpaka kamasi zote zitakapoisha vichwani!![emoji51][emoji51][emoji51]
tatizo sio kupata akili,ujasiri unao?????[emoji1787][emoji16][emoji23][emoji16]Hivi lini nitapata akili kama huyu mtu?
asi kwa akili za watanzania hapo mbona umemaliza[emoji1787][emoji1787][emoji16]Alijenga trust kiasi kwamba dereva wa fuso akipeleka mzigo anapewa chakula yeye na tingo wake free.
Hata mi sijaelewa alikuwa anakopa?Kawatapeli vipi yani.
Nyoosha maeleze bwa.shekhe
Kwanini walikuwa wanamfatilia anapoyauza, wao wangemuuzia halafu waachane nae.Hapana mkuu sio hivo! Unapeleka mahindi yako tuseme gunia 5, unalipwa cash kabisa. Ila watu walishangaa anapataje faida wakati alikuwa anauza bei ya chini zaidi ya aliyokuwa ananunua, mf. ananunua gunia kwa sh, 70,000 kisha anauza gunia hilo kwa sh 40,000.
Kupigwa Wamepigwa Mno!!Mbona humu JF watu wengi wamepigwa. Umeshamsahau ontario na utajiri wake wa forex. Hadi boss wa JF alichoma akaunti....
Akili ingekuwa pamoja na ujasiritatizo sio kupata akili,ujasiri unao?????[emoji1787][emoji16][emoji23][emoji16]