Tajiri wa mahindi Mbinga, Songea awatapeli wananchi

Tajiri wa mahindi Mbinga, Songea awatapeli wananchi

Na hata serekali ilikuwa inaona ikampa na ulinzi na misaada mbalimbali ya kifundi ikiwemo mhasibu. Hakuna ubishi kwamba huyu bilionea alimuweka kila mtu mfukoni
 

Attachments

  • IMG-20201017-WA0021.jpg
    IMG-20201017-WA0021.jpg
    60.1 KB · Views: 13
  • IMG-20201017-WA0017.jpg
    IMG-20201017-WA0017.jpg
    43.7 KB · Views: 12
Nacheka kama mazuri jamani [emoji23][emoji23]
 
Nipo barabarani hapa tumezuiwa kupita wananchi wamefunga barabara hapa Mbinga kwa tuhuma za kutapeliwa na tajiri mmoja aliyekuwa ananunua mahindi.

Inasemekana alikuwa anananua kwa elfu 75 na kuyauza kwa elfu 45 sasa baada ya kukusanya mzigo wa mahindi wa kutosha na kuyauza sasa kakimbia kawaachia manyoya wananchi mpaka wamefikia hatua ya kutia fujo kuandamana na kufunga barabara magari yasipite.

View attachment 1603108View attachment 1603109View attachment 1603110
Niliwaambia huyo jamaa anawapiga.
 
Nimekumbuka kisa kimoja cha Bilionea wa Kahama aliyekuwa ananua kinyonga kwa M1 moja
vinyonga vikawa deal kumbe ana watu wake wanaouza vinyonga mtaani mtu unanua kinyonga laki unaenda kuuza M1
bwana eeh watu walinunua vinyonga mpaka kwa laki 5 jamaa akasepa mpaka leo
 
Ha ha ha ha nimecheka kwetu huko na ilo swala lipo nilishangaa sana eti ananunua roba lolote lile la mahindi kwa 75 yani kwa bei ya juu ata kama lile la dumla 30 watu walifurika kijijini kwetu kupeleka mahindi yao huko wakajipatie liziki kumbe huyo baba mwizi ha ha ha nimecheka baada ya kuuzunika
 
Nakushauri uende kuwapiga wakenya au waganda au wanyarwanda haipendezi kuwapiga ndugu zako wa tz, mara nyingi mimi huwa sielewi inawezekanaje utengeneze dawa feki kisha unaziuza kwa ndugu zako wa tz wakati kenya ipo
Wakeii walikukosea nini😀
 
Nimeuona uzi ila haujajibu swali langu.

Kawatapeli kivipi?Kachukua mahindi halafu hajawalipa?
Soma comment yangu utapata majibu Mimi ni wa huko huko najua uyo jamaa alivyokuwa anafanya watu walihamia huko had kuuza migahawa kutokana na population iliyokuwa ikifurika huko yani ilitokea hadi migration
 
Back
Top Bottom