Tajiri wa mahindi Mbinga, Songea awatapeli wananchi

Tajiri wa mahindi Mbinga, Songea awatapeli wananchi

Bwashekhe kauza mahindi wananchi hawajapewa pesa zao

Ina maana alikuwa akichukua hayo mahindi kwa mkopo bila kulipa cash ama?
Kwamba hayo mahindi aliyachukua kwa wananchi kwa makubaliano gani?
Kwamba ni hadi auze yeye kwa 45k ndio awalipe ama!?[emoji848]
 
Ina maana alikuwa akichukua hayo mahindi kwa mkopo bila kulipa cash ama?
Kwamba hayo mahindi aliyachukua kwa wananchi kwa makubaliano gani?
Kwamba ni hadi auze yeye kwa 45k ndio awalipe ama!?[emoji848]
Alikuwa anayakusanya then anawalipa hela baada ya wiki sasa awamu ya mwisho hii alikusanya kwa muda mrefu then kayauza halafu kalamba mbele
 
Nipo barabarani hapa tumezuiwa kupita wananchi wamefunga barabara hapa Mbinga kwa tuhuma za kutapeliwa na tajiri mmoja aliyekuwa ananunua mahindi.

Inasemekana alikuwa anananua kwa elfu 75 na kuyauza kwa elfu 45 sasa baada ya kukusanya mzigo wa mahindi wa kutosha na kuyauza sasa kakimbia kawaachia manyoya wananchi mpaka wamefikia hatua ya kutia fujo kuandamana na kufunga barabara magari yasipite.

View attachment 1603108View attachment 1603109View attachment 1603110
Niliwaambia yule mtu alikuwa ananunua watu na sio mahindi hamkusikia, haya.
 
Ah ah Yale Yale ya tajiri kununua nyani kwa elfu laki Moja Kijiji kimoja na kwenda uza nyani hao hao elfu 50...wanakijiji wananunua nyani wengi wakijua Ela ipo kumbe muuzani ndo mnunuzi....ukiona fursa haieleweki ujue wewe ndo fjrsa
 
Back
Top Bottom