Tajiri wa mahindi Mbinga, Songea awatapeli wananchi

Tajiri wa mahindi Mbinga, Songea awatapeli wananchi

Nipo barabarani hapa tumezuiwa kupita wananchi wamefunga barabara hapa Mbinga kwa tuhuma za kutapeliwa na tajiri mmoja aliyekuwa ananunua mahindi.

Inasemekana alikuwa anananua kwa elfu 75 na kuyauza kwa elfu 45 sasa baada ya kukusanya mzigo wa mahindi wa kutosha na kuyauza sasa kakimbia kawaachia manyoya wananchi mpaka wamefikia hatua ya kutia fujo kuandamana na kufunga barabara magari yasipite.

View attachment 1603108View attachment 1603109View attachment 1603110
Huyu alivuma sana na serikali ilikua inamsapoti
 
Dah, Tz raha sana[emoji23][emoji23][emoji23], watu waliamini kabisa kwamba mtu anaweza nunua mahindi 75,000 then auze 45,000? Kweli? Hamna hata kujiuliza hayo ni mazingaumbwe ya wapi?

Huu ujinga mpaka uje utuishe ndo tutajua haki.zetu ni.zipi.

Tanzania kwa ujinga uliopo bado watu wapo Enzi za Mawe,

Hapa ndo ujue CCM itatawala miaka.100 ijayo mpaka kamasi zote zitakapoisha vichwani!![emoji51][emoji51][emoji51]
Na serekali ya eneo husika ikawa inamuangalia kama zuzu tuuu!Utakuta saa hizi yupo zake Somalia au Kongo huko!
 
Nipo barabarani hapa tumezuiwa kupita wananchi wamefunga barabara hapa Mbinga kwa tuhuma za kutapeliwa na tajiri mmoja aliyekuwa ananunua mahindi.

Inasemekana alikuwa anananua kwa elfu 75 na kuyauza kwa elfu 45 sasa baada ya kukusanya mzigo wa mahindi wa kutosha na kuyauza sasa kakimbia kawaachia manyoya wananchi mpaka wamefikia hatua ya kutia fujo kuandamana na kufunga barabara magari yasipite.

View attachment 1603108View attachment 1603109View attachment 1603110
Mbona nilisikia alikua anatoa pesa cash , sawa kwatapeli VIP ?
 
Uzi wake upo hapa JF, jamaa alikuwa nanunua mahindi kwa bei ya juu sana na kisha kuyauza kwa bei ya fororo, watu walikuwa wanauliza alikuwa anapataje faida....
Wengi waliseam kuwa mahindi wanayonunua ni yake anayauza kwa mlango wa nyuma na ipo siku atawaachia mzigo wao na ataondoka na hela yao bila wenyewe kujua, naona yametimia!
 
Uzi wake upo hapa JF, jamaa alikuwa nanunua mahindi kwa bei ya juu sana na kisha kuyauza kwa bei ya fororo, watu walikuwa wanauliza alikuwa anapataje faida....
Wengi waliseam kuwa mahindi wanayonunua ni yake anayauza kwa mlango wa nyuma na ipo siku atawaachia mzigo wao na ataondoka na hela yao bila wenyewe kujua, naona yametimia!
Hilo jizi lina akili sana. Tuseme tu ukweli ni watu wachache sana wenye huo ujasiri.
 
Yaani amekusanya mahindi mengi kutoka kwa wakulima kwa ahidi kuwa atakuja kuwalipa 75 halafu yeye akayauza kwa 45 kisha akaingia mitini bila kutimiza ahadi
Hapana mkuu sio hivo! Unapeleka mahindi yako tuseme gunia 5, unalipwa cash kabisa. Ila watu walishangaa anapataje faida wakati alikuwa anauza bei ya chini zaidi ya aliyokuwa ananunua, mf. ananunua gunia kwa sh, 70,000 kisha anauza gunia hilo kwa sh 40,000.
 
Kwa akili hizi ndio maana sishangai watu wandeki na kutandika nguo barabarani ili mgombea wao apite na watu hao hao wanampigia mgombea wachama kingine!
 
Hapana mkuu sio hivo! Unapeleka mahindi yako tuseme gunia 5, unalipwa cash kabisa. Ila watu walishangaa anapataje faida wakati alikuwa anauza bei ya chini zaidi ya aliyokuwa ananunua, mf. ananunua gunia kwa sh, 70,000 kisha anauza gunia hilo kwa sh 40,000.
Sasa kama analipa cash ametapelije watu?
 
Mbona kwenye ile interview yake alidai analipa cash unampelekea mzigo anakulipa hapo hapo, hii ya kulipa baada ya wiki umeipata wapi mkuu?.
Nadhani hiyo ilikua "gia" ya mwanzoni ili ku-buy trust ya wakulungwa.
Matapeli huwa wanatumia akili sana ku pull off scams.
Hapo itakua mwanzoni alikua anatoa cash kweli, ilikuzidi kuwavuta watu, kisha akaanza kuwa analipa baadabya muda kidogo (hapo sasa trust imekomaa 100%), kisha sasa ndo tukio kubwa linapigwa.
Akili kubwa.
 
Back
Top Bottom