Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,158
- 9,181
Nashangaa sababu kuna mahesabu mengine toka mwanzo yanaonyesha wizi mtupu. Halafu watu kama hawaoni vileTamaa na kupenda kitonga, halafu hizi scam project mbona hata wazungu wanapigana sana huko kwao iweje ushangae ikitokea Tanzania