DuuHizi Habari sio za kweli,jana tulikuwepo eneo la tukio,kwanza kabisa sio kweli kuwa KAWATAPELI WAKULIMA ,
La pili ni kwemba wakulima wenyewe na hasa wasiopeleka Mahindi pale walinaza kuleta fujo sababu kuna listi ya majina inaonekana Makarani wamewaingiza watu wa malipo FEKI ,jamaa hilo swala kalishtukia...
Hivyo alipotangaza utaratibu wa kugawa PESA za Malipo kikundi cha watu wachache kilitaka kuanzisha vurugu ndipo jamaa alipoomba aongezewe ulinzi na jeshi la polisi na zoezi kusimamishwa na atimaye kuahairisha polisi wakatoka nae..
Leo katoa taarifa kuwa JUMATANO watu waende wakasikilize utaratibu mpya wa kupewa malipo yao..
N.B: Tupende kuandika Taarifa zenye uthibisho kuliko taarifa zenye kuzua Taharuki hasa kwa wahusika
hata mimi sijampata hapoKawatapeli vipi yani.
Nyoosha maeleze bwa.shekhe
Ndiyo elimu bure hiyo ya Magu. Ole wako mwanafunzi afeli. Elimu ya makaratasi. Siyo elimu ya kuelimika. Sasa wanatapeliwa kiboya namna hiyo!Dah, Tz raha sana😂😂😂, watu waliamini kabisa kwamba mtu anaweza nunua mahindi 75,000 then auze 45,000? Kweli? Hamna hata kujiuliza hayo ni mazingaumbwe ya wapi?
Huu ujinga mpaka uje utuishe ndo tutajua haki.zetu ni.zipi.
Tanzania kwa ujinga uliopo bado watu wapo Enzi za Mawe,
Hapa ndo ujue CCM itatawala miaka.100 ijayo mpaka kamasi zote zitakapoisha vichwani!!😬😬😬
jamaa alikua na hesabu kali!! Aliwazidi akili..na huwa ndo akili za kitapeli zinafanya kazi!! Akili za kitapeli huwa zinawahi kuona dhahabu kabla watu hawajastuka😀Alikuwa anayakusanya then anawalipa hela baada ya wiki sasa awamu ya mwisho hii alikusanya kwa muda mrefu then kayauza halafu kalamba mbele
Daah.Nakupa historia huyu alikuwa askari magereza alifukuzwa kazi mwaka juzi kwa tabia hizi waulize watu wa mpanda na sumbawanga kawaliza sana watu.
CCM mna laana sana!!Daah.
Ni stori ndefu sana ya huyu jamaaDaah.
Na kesi zake huwa zinayeyuka tu.Daah.
Ngoja tuone.Na kesi zake huwa zinayeyuka tu.