Tajiri wa mahindi Mbinga, Songea awatapeli wananchi

Tajiri wa mahindi Mbinga, Songea awatapeli wananchi

Hii mbona ilikuwa inajulikana tu sema watu wakawa hawaelewi , mwenyewe nilikuwa nasubiria feedback ndio Kama hivi Daaah Pole yao Maana kilimo ni kazi Ngumu Sana alafu tena unatapeliwa!
Wajinga wengi
 
Watanzania sijui wanafikiria kwa kutumia nini? where on earth could that be possible in business?
Tamaa na kupenda kitonga, halafu hizi scam project mbona hata wazungu wanapigana sana huko kwao iweje ushangae ikitokea Tanzania
 
Hivi kwenye hiyo biashara alikuwa na leseni ya biashara hiyo na alikuwa akilipa kodi ya mapato huko TRA?
 
Soma comment yangu utapata majibu Mimi ni wa huko huko najua uyo jamaa alivyokuwa anafanya watu walihamia huko had kuuza migahawa kutokana na population iliyokuwa ikifurika huko yani ilitokea hadi migration
Comment namba ngapi? Comment ziko nyingi hapa.
 
Mbona kwenye ile interview yake alidai analipa cash unampelekea mzigo anakulipa hapo hapo, hii ya kulipa baada ya wiki umeipata wapi mkuu?.
Alianza kwa kulipa Cash, yaani kama Mr. Kuku tu wa mwanzo walifaidi. Baadae akaanza kuchelewesha malipo kwa siku tatu, wiki, wiki mbili mwisho sa hivi ameamua kuwacheleweshea milele.
Ulitegemea ajitangaze kuwa ananunua kwa Mali kauli? He angepata Wadanganyika wengi?
 
Hii story nlsikia kuwa alikuwa analipa mpaka pesa ikibaki anagawa.
 
Alianza kwa kulipa Cash, yaani kama Mr. Kuku tu wa mwanzo walifaidi. Baadae akaanza kuchelewesha malipo kwa siku tatu, wiki, wiki mbili mwisho sa hivi ameamua kuwacheleweshea milele.
Ulitegemea ajitangaze kuwa ananunua kwa Mali kauli? He angepata Wadanganyika wengi?
Duh milele tena hahahahahah
 
Kasome uzi wote pamoja na comments zake utaelewa
Kuwa specific, nilisoma uzi wote, hata kabla hujanitag, sikuona jibu kwa swali hilo.

Kama una post namba iweke hapa.

Huyu jamaa amechuku mahindi ya watu na hajawalipa?

Swali hili sijapata jibu bado.
 
Back
Top Bottom