Tahadhari ukiwa unakuja Tarime

Tahadhari ukiwa unakuja Tarime

Naomba kujua pigo za mashoga wa tarime

Tarime kama nyumbani
Me huo ubabe sijawahi kuona
Nakula bia nyingi hapo Tarime na Surprise hadi usiku wa manane ni amani tu

Marafiki zangu akina Mwikabe, Chacha, Mwita oya nakuja tenq
Ni ngumu sana mkurya kukuletea fujo/ubabe/ukorofi bila sababu usipomchokoza, ni ngumu sana. Atakuheshim zaidi
 
šŸ˜„šŸ˜„šŸ˜„šŸ˜„šŸ˜„šŸ˜„
Kuna mkuria mwenzako aliniletea ukorofi wa kishamba nikamtembezea kichapo akakimbilia nyumbani kufata panga alivyorudi nikamuonyeshea Glock 19 Gen 5 akatoka nduki tena.
Analeta vita za kizamani wakati watu wanatembea na hapa ipo😃😃😃😃
 
Kwa wanaume
 

Attachments

  • images (9).jpeg
    images (9).jpeg
    6.8 KB · Views: 8
Back
Top Bottom