Tahadhari ukiwa unakuja Tarime

Tahadhari ukiwa unakuja Tarime

Sio kweli mkuu,kuna watu kiasili wako too aggressive yani wako short tempered,mfano wa hao ni wakurya na wamaasai.
Asilimia kubwa ninyi ni watu ambao hampendi majadiliano,wachache sana ndio mnakubali majadiliano.
Km hukutaka najadiliano mwanzo uwez kurud kutaka majadiliano nikakusikiliza, lkn km km tulianza vzr mwanzo basi tutamaliza vzr.
 
Km hukutaka najadiliano mwanzo uwez kurud kutaka majadiliano nikakusikiliza, lkn km km tulianza vzr mwanzo basi tutamaliza vzr.
Ubishi pia asili yenu,nina mifano mingi sana ila nikiitoa kwako naona kazi bure maana mkuu fikra zako umezigandisha.
Labda nikutolee mfano huu mmoja,Kigamboni kuna mafundi walikua wanajenga kuna mwanadada aliomba asaidiwe kitu na huyo fundi,yule dada ni mke wa hao jamaa zenu wakurya.
Bahati mbaya jamaa akawa anarudi maana ujenzi unapofanyika kwa nyumba ya pili ndio kwake.
Sasa yule jamaa alipomuona mkewe anaongea na yule fundi akatafsiri anamtongoza,jamaa hakutaka kusikiliza alifika mateke ngumi na ugomvi ukawa mkubwa.
Kila jamaa akitulizwa haambiliki,mbaka wazee kumtuliza na kujua chanzo hayo mapigano yote yasingetokea.


Kiufupi mnapenda kutoa reaction pasi na kujua chanzo cha kitu ni nini.
Hii tabia mnayo we kaka kataa jiteteeni ila hii tabia mnayo.
 
Ubishi pia asili yenu,nina mifano mingi sana ila nikiitoa kwako naona kazi bure maana mkuu fikra zako umezigandisha.
Labda nikutolee mfano huu mmoja,Kigamboni kuna mafundi walikua wanajenga kuna mwanadada aliomba asaidiwe kitu na huyo fundi,yule dada ni mke wa hao jamaa zenu wakurya.
Bahati mbaya jamaa akawa anarudi maana ujenzi unapofanyika kwa nyumba ya pili ndio kwake.
Sasa yule jamaa alipomuona mkewe anaongea na yule fundi akatafsiri anamtongoza,jamaa hakutaka kusikiliza alifika mateke ngumi na ugomvi ukawa mkubwa.
Kila jamaa akitulizwa haambiliki,mbaka wazee kumtuliza na kujua chanzo hayo mapigano yote yasingetokea.


Kiufupi mnapenda kutoa reaction pasi na kujua chanzo cha kitu ni nini.
Hii tabia mnayo we kaka kataa jiteteeni ila hii tabia mnayo.
Hiyo ni hadithi
 
Aisee
Mimi nitoke Dar niende Tarime ?
Hivi kuna uwanja wa ndege huko au ni usafiri wa kujumuika na umati usiojua kuoga sio kwenda mtoni tu??
Sasa uwanja wa ndege wa nini wakati hata flight schedule uijui na unaishi karbu na airport
 
Sasa uwanja wa ndege wa nini wakati hata flight schedule uijui na unaishi karbu na airport
Duh
Hata google wenyewe wamekutana na chenga tupu.....

1725055548621.png
 
Tarime kama nyumbani
Me huo ubabe sijawahi kuona
Nakula bia nyingi hapo Tarime na Surprise hadi usiku wa manane ni amani tu

Marafiki zangu akina Mwikabe, Chacha, Mwita oya nakuja tenq
Hua unapigia maji sehemu gani mkuu?
 
utapewa mashamba bure utalima.
Hii hapa ni kamba ya katani ngoja nikaendelee kupiga skanka, usisahau kusema Tarime bado wanavuta Bange za zamani za kawaida almaarufu km kushabu ambazo DCEA Aretas Lymo anasema zinamlundikano wa kemikali asilimia 15 sio zile za GMO zenye 40% high na ili ujue kiwango cha % hio yote lazima uvute sio upime maabara kwa hio ni mvutaji Namba 1

#kaributule Mura
 
Aisee..as if hapo Dar ni mbinguni?
Dar ni Pepo ndogo Ila kuna vitu vingi vimekosewa tukianza na miundombinu na mipango miji Dar ni Slum Dar ni squatter settlement Dar ni mlundikano wa vijiji na vitongoji vingi ndani ya mji Ila Dar sio Mwanza ingawa kuna maeneo ukifika watu wamejenga jenga kwenye miinuko miinuko sio Mawe utasema upo Mwanza kasoro Ziwa Victoria na Samaki
 
Dar ni Pepo ndogo Ila kuna vitu vingi vimekosewa tukianza na miundombinu na mipango miji Dar ni Slum Dar ni squatter settlement Dar ni mlundikano wa vijiji na vitongoji vingi ndani ya mji Ila Dar sio Mwanza ingawa kuna maeneo ukifika watu wamejenga jenga kwenye miinuko miinuko sio Mawe utasema upo Mwanza kasoro Ziwa Victoria na Samaki
Unakosa mlo wa mchana alafu unasema dar km peponi?
 
Hii hapa ni kamba ya katani ngoja nikaendelee kupiga skanka, usisahau kusema Tarime bado wanavuta Bange za zamani za kawaida almaarufu km kushabu ambazo DCEA Aretas Lymo anasema zinamlundikano wa kemikali asilimia 15 sio zile za GMO zenye 40% high na ili ujue kiwango cha % hio yote lazima uvute sio upime maabara kwa hio ni mvutaji Namba 1

#kaributule Mura
Umeandik imla alafu zote hamna point
 
Back
Top Bottom