Tahadhari ukiwa unakuja Tarime

Tahadhari ukiwa unakuja Tarime

kurya ndo watu wajasiri hawana ubaguzi na wakarimu,ila usithubutu kumuonea au kumdharau mkurya utajuta kaka
Bila kusahau
Wakurya waliwashinda wamasai vitani na kufanikiwa kuwafukuza toka maeneo ya mara kwenda arusha upande wa Tz,na pia kuwa toka maeneo ya nyanza kwenda pande za masai mara huko kenya
HISTORY TO BE TOLD
 
kurya ndo watu wajasiri hawana ubaguzi na wakarimu,ila usithubutu kumuonea au kumdharau mkurya utajuta kaka
Bila kusahau
Wakurya waliwashinda wamasai vitani na kufanikiwa kuwafukuza toka maeneo ya mara kwenda arusha upande wa Tz,na pia kuwa toka maeneo ya nyanza kwenda pande za masai mara huko kenya
HISTORY TO BE TOLD
Masai hadi leo kuna kaheshima ya undugu flani hatuwez oa kwao wala hawawez oa kwetu
 
Masai hadi leo kuna kaheshima ya undugu flani hatuwez oa kwao wala hawawez oa kwetu
Sio heshima ni mila na maagano ya wazee wa jadi
Maana watu wa haya makabila waliuana sana na si vizuri kuoana na watu ambao mumemwaga damu zao
Lakini pia kuna majina ya kimasai ukuryani
Kama ghisiri,mwikwabhe?katafute yakifikaje ukurayani utanielewa
 
Sio heshima ni mila na maagano ya wazee wa jadi
Maana watu wa haya makabila waliuana sana na si vizuri kuoana na watu ambao mumemwaga damu zao
Lakini pia kuna majina ya kimasai ukuryani
Kama ghisiri,mwikwabhe?katafute yakifikaje ukurayani utanielewa
Maasai are warriors.

Kupita huko kwenda Arusha ilikua ni njia tu ya kutafuta maeneo mazuri yenye malisho.

Ubora wao unafahamika tangia enzi; Soma Biblia mambo ya nyakati wa kwanza Mlango wa Tisa, wametajwa kama wana wa makuhani.
 
Ha
Maasai are warriors.

Kupita huko kwenda Arusha ilikua ni njia tu ya kutafuta maeneo mazuri yenye malisho.

Ubora wao unafahamika tangia enzi; Soma Biblia mambo ya nyakati wa kwanza Mlango wa Tisa, wametajwa kama wana wa makuhani.
hahahaha
habari za wamasai zikaandikwa na mababu wa wayahudi wa kale..!hii siichukui ndugu
 
Ha
Maasai are warriors.

Kupita huko kwenda Arusha ilikua ni njia tu ya kutafuta maeneo mazuri yenye malisho.

Ubora wao unafahamika tangia enzi; Soma Biblia mambo ya nyakati wa kwanza Mlango wa Tisa, wametajwa kama wana wa makuhani.
hahahaha
habari za wamasai zikaandikwa na mababu wa wayahudi wa kale..!hii siichukui ndugu
 
Ha

hahahaha
habari za wamasai zikaandikwa na mababu wa wayahudi wa kale..!hii siichukui ndugu
Soma kwanza halafu utaamua mwenyewe, ila ukweli ndio huo.

Screenshot_20240830_035031_Chrome.jpg
 
Soma kwanza halafu utaamua mwenyewe, ila ukweli ndio huo.

View attachment 3082411
Mkuu acha hizi mambo za kufatilia asili yako kwenye historia za watu wengine..
Tafuta historia yako na asili yako
Utaipata,utakuwa huru
hIvi unajua "makuhani walikua wana wa haruni toka kabila la Lawi la wana waisrael au yakobo kwa jina la kuzaliwa"...Sasa umasai umeingiaje hapo..
Wewe ndo ukasome
Vizuri halafu uanze kutafuta asili yako.
 
Mkuu acha hizi mambo za kufatilia asili yako kwenye historia za watu wengine..
Tafuta historia yako na asili yako
Utaipata,utakuwa huru
hIvi unajua "makuhani walikua wana wa haruni toka kabila la Lawi la wana waisrael au yakobo kwa jina la kuzaliwa"...Sasa umasai umeingiaje hapo..
Wewe ndo ukasome
Vizuri halafu uanze kutafuta asili yako.
Historia ndio hiyo mkuu,

Tatizo la wengi wanawachukulia wamasai poa sana.

Ukweli ndio huo ila ni mchungu sana kwa wengi.

Tumezoea kuishi kwa uongo uongo mpaka inakuwa vigumu kuukabili ukweli.

Chukua hiyo.
 
Back
Top Bottom