Tahadhari ukiwa unakuja Tarime

Tahadhari ukiwa unakuja Tarime

Wakurya ndio wakarimu,wapo vizuri kichwani kiakili ila kuna muda wana ubabe wa kipumbavu.
Yani wana hyper sana,pia huwa hawajui kitu kinachoitwa majadiliano,wao wanajua matumizi ya nguvu kuliko majadiliano.
Yani hawana tofauti na wamaasai.
Kitu kidogo cha kujadiliana mtavutana mashati na kupigana mabisu,kwa hiko wanazingua sana.
 
Wakurya ndio wakarimu,wapo vizuri kichwani kiakili ila kuna muda wana ubabe wa kipumbavu.
Yani wana hyper sana,pia huwa hawajui kitu kinachoitwa majadiliano,wao wanajua matumizi ya nguvu kuliko majadiliano.
Yani hawana tofauti na wamaasai.
Kitu kidogo cha kujadiliana mtavutana mashati na kupigana mabisu,kwa hiko wanazingua sana.
Karibu tukupe mke
 
Karibu tukupe mke
Siwawezi mkuu wake wa kikurya.
Niliwahi kuwa na mpenzi mkurya binti wambura aisee niliipata fresh.😂😂😂😂.
Wanawake wa kikurya wako too loyal and humble and honesty ilaaa mkizinguana dooh uwe na ubavu wa kupigana.
Shida ndugu zetu mna hyper sana.
Yani adrenaline haichelewi kumwagika.
 
1721783230948.jpg
 
Siwawezi mkuu wake wa kikurya.
Niliwahi kuwa na mpenzi mkurya binti wambura aisee niliipata fresh.😂😂😂😂.
Wanawake wa kikurya wako too loyal and humble and honesty ilaaa mkizinguana dooh uwe na ubavu wa kupigana.
Shida ndugu zetu mna hyper sana.
Yani adrenaline haichelewi kumwagika.
Tunapenda haki
 
mzungu analindwa kwa ulinzi mkubwa,silaha za moto hatari sasab huyo intruder anapenyaje na panga?
One time nitakuja nisimulie namna mambo ya wizi, dhulma, mauaji na mambo mengine yanavyo fanyika usiyo yajua
 
One time nitakuja nisimulie namna mambo ya wizi, dhulma, mauaji na mambo mengine yanavyo fanyika usiyo yajua
Wewe msemaji wa mzungu? Mbona unaingilia majukumu? Au unataka kusema serikali haipo hapo au unajua zaidi yake?
 
hadi ifike hatua mtu atumie nguvu ujue nawe ujatumia njia sahihi
Sio kweli mkuu,kuna watu kiasili wako too aggressive yani wako short tempered,mfano wa hao ni wakurya na wamaasai.
Asilimia kubwa ninyi ni watu ambao hampendi majadiliano,wachache sana ndio mnakubali majadiliano.
 
Back
Top Bottom